Halafu ukute Rebeca 83 kaja kujitongoza kama Tumbili wa mjini
Chaumbea upoNina tattoo makalioni, mume wangu kuniambia nitafute mwanaume mwingine
Moderator Paw Mhariri Maxence Melo Huyu ananitukana na aliyoyasema yamrudie kwa mama yake na uzao wao wote Koma kunitusi mpuuzi wewe kama hustahimili matusi,wewe ndio umenianza kenge we,hadi PM...kwa akili zako za kijinga unadhani utani bully mimi...www.jamiiforums.com
Rebeca 83 nasikia wewe ndio mwenye hiz tattoos za takoni 🤣🤣🤣
Unaweza kukuta ID ni ya mtu mmoja atajitongoza,atajikubalia halafu atajiacha!!.. baadae atakuja kutulilia ameachwa halafu tutampa pole...😀
karibuni home of great kasongoz...
leo moderator hatuingilii hili lako!, ukinuna ng'oa viti yani ni ubaya ubwela..🤣Moderators mnaona upuuzi wa huyu mtu?!
Sasa kilichokufanya uje kumtongozea huku ni nini kama sio kutaka kumdhalilisha. Si umfuate huko mtaani kwenu.Haha huyo demu najuana nae kitambo sana tupo nae kitaa
Ndio madada wa Kitanzania mlivyo kupendwa sio upuuzi wala ujinga mtu anaweza kukupenda ila unamwambia nashukuru sasa hivi nipo na mtu mwingine umechelewa simple tu sema ninyi mkioneshwa kupendwa kesi msipopendwa kesi..ingawaje muhuni katumia njia za porini ila unamjibu kistaarabu na maisha yanaendelea..Moderators mnaona upuuzi wa huyu mtu?!
kwa mujibu wa wambea wa humu inaonyesha kesi yao imeanzia mbali wanatukanana matusi huko!.. sasa hii bangi mmoja anavutia kwa mbele kunapowaka moto na mwengine kwa nyuma kunapotoa moshi!.. sasa yaonyesha anaevutia kwa mbele imemkolea zaidi...🤣Ndio madada wa Kitanzania mlivyo kupendwa sio upuuzi wala ujinga mtu anaweza kukupenda ila unamwambia nashukuru sasa hivi nipo na mtu mwingine umechelewa simple tu sema ninyi mkioneshwa kupendwa kesi msipopendwa kesi..ingawaje muhuni katumia njia za porini ila unamjibu kistaarabu na maisha yanaendelea..
Mbona hata hujawa tag hao moderator?Moderators mnaona upuuzi wa huyu mtu?!
https://www.facebook.com/Hello Rebeca nimetokea kukupenda naomba uwe mpenzi wangu
moderator mbona tupo sema tumeamua tuliache apambane nalo, hili ni lake hatutaki kuingilia mapenzi ya watu bure baadae tuje tuchambwe!..🤣Mbona hata hujawa tag hao moderator?
Au ndio sitaki nataka?
Pana mambo mengi aisee alivyowaita Mods inaonekana kuna taarifa walishapewa sasa anaendelea kuwajulisha ila muhuni akikataliwa asilete vita mbona wengine tushazoea mpaka tumeota sugu..kwa mujibu wa wambea wa humu inaonyesha kesi yao imeanzia mbali wanatukanana matusi huko!.. sasa hii bangi mmoja anavutia kwa mbele kunapowaka moto na mwengine kwa nyuma kunapotoa moshi!.. sasa yaonyesha anaevutia kwa mbele imemkolea zaidi...🤣
Kumbe ni series nzima ni muendelezo wa episodes tu 😀 😀
aiyaaahModerators mnaona upuuzi wa huyu mtu?!