Nakupenda Rebeca 83

Nakupenda Rebeca 83

Status
Not open for further replies.
Screenshot_20241006-190730~2.jpg
 
Unaweza kukuta ID ni ya mtu mmoja atajitongoza,atajikubalia halafu atajiacha!!.. baadae atakuja kutulilia ameachwa halafu tutampa pole...😀

karibuni home of great kasongoz...
 
Moderators mnaona upuuzi wa huyu mtu?!
Ndio madada wa Kitanzania mlivyo kupendwa sio upuuzi wala ujinga mtu anaweza kukupenda ila unamwambia nashukuru sasa hivi nipo na mtu mwingine umechelewa simple tu sema ninyi mkioneshwa kupendwa kesi msipopendwa kesi..ingawaje muhuni katumia njia za porini ila unamjibu kistaarabu na maisha yanaendelea..
 
Ndio madada wa Kitanzania mlivyo kupendwa sio upuuzi wala ujinga mtu anaweza kukupenda ila unamwambia nashukuru sasa hivi nipo na mtu mwingine umechelewa simple tu sema ninyi mkioneshwa kupendwa kesi msipopendwa kesi..ingawaje muhuni katumia njia za porini ila unamjibu kistaarabu na maisha yanaendelea..
kwa mujibu wa wambea wa humu inaonyesha kesi yao imeanzia mbali wanatukanana matusi huko!.. sasa hii bangi mmoja anavutia kwa mbele kunapowaka moto na mwengine kwa nyuma kunapotoa moshi!.. sasa yaonyesha anaevutia kwa mbele imemkolea zaidi...🤣
 
kwa mujibu wa wambea wa humu inaonyesha kesi yao imeanzia mbali wanatukanana matusi huko!.. sasa hii bangi mmoja anavutia kwa mbele kunapowaka moto na mwengine kwa nyuma kunapotoa moshi!.. sasa yaonyesha anaevutia kwa mbele imemkolea zaidi...🤣
Pana mambo mengi aisee alivyowaita Mods inaonekana kuna taarifa walishapewa sasa anaendelea kuwajulisha ila muhuni akikataliwa asilete vita mbona wengine tushazoea mpaka tumeota sugu..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom