Tuwe tu na subra kilamtu atachanganyikiwa kw wakat wake πππAu atajiomba hela kisha anajinyima halafu anajikasirikia na kujiblock.
π€£π€£ na ni Tumbili kweli haswaTumbili wa mjini usikae kimya endelea kushusha mistari mpk mtoto aelewe leo hatumwi mtu dukani live bila chenga!..π€£
nilikuwa sina hili wala lile mara dj kawaleta...π€£π€£π€£ na ni Tumbili kweli haswa
Tumbili ndio Mnyama anayemiliki jina moja lenye kua na tafsiri kwa Kiingereza hapo hapo,π€£π€£ na ni Tumbili kweli haswa
Unajuana nae eti eh....π€Haha huyo demu najuana nae kitambo sana tupo nae kitaa
Bado wewe!, nasubiri mchanganyikio wako sikuhiyo lazima kanda imeze redio!Tuwe tu na subra kilamtu atachanganyikiwa kw wakat wake πππ
moderator likes the thread...π€£Huu uzi ukibaki hewani..nitajua moderators mna ishu na mimi..
ππππMuoneBado wewe!, nasubiri mchanganyikio wako sikuhiyo lazima kanda imeze redio!
tumezoea kuyasikia maneno haya lkn muda utafika utasaga mapengo!..πππππMuone
Mimi kuchanganyikiwa Bado sana
Sorry my dear seems like mnajuana kweli. Ngoja ni edit paleUnanikosea bure
Najitahid kunywa dawa zangu baada ya kula hivo Bado πππtumezoea kuyasikia maneno haya lkn muda utafika utasaga mapengo!..π
rejea ile kauli yako "Tuwe tu na subra kilamtu atachanganyikiwa kw wakat wake"Najitahid kunywa dawa zangu baada ya kula hivo Bado πππ
Kuna thread nimeona wanarushiana missile za hatari.Tumbili ndio Mnyama anayemiliki jina moja lenye kua na tafsiri kwa Kiingereza hapo hapo,
''Tu'' (Two) mbili.
ππ
Hello Rebeca nimetokea kukupenda naomba uwe mpenzi wangu
moderator wamependa!, ujue uzi haujavunja masharti sasa waufute wanini..??