Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Tuwe tu na subra kilamtu atachanganyikiwa kw wakat wake 😂😂😂Au atajiomba hela kisha anajinyima halafu anajikasirikia na kujiblock.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwe tu na subra kilamtu atachanganyikiwa kw wakat wake 😂😂😂Au atajiomba hela kisha anajinyima halafu anajikasirikia na kujiblock.
🤣🤣 na ni Tumbili kweli haswaTumbili wa mjini usikae kimya endelea kushusha mistari mpk mtoto aelewe leo hatumwi mtu dukani live bila chenga!..🤣
nilikuwa sina hili wala lile mara dj kawaleta...🤣🤣🤣 na ni Tumbili kweli haswa
Tumbili ndio Mnyama anayemiliki jina moja lenye kua na tafsiri kwa Kiingereza hapo hapo,🤣🤣 na ni Tumbili kweli haswa
Unajuana nae eti eh....🤔Haha huyo demu najuana nae kitambo sana tupo nae kitaa
Bado wewe!, nasubiri mchanganyikio wako sikuhiyo lazima kanda imeze redio!Tuwe tu na subra kilamtu atachanganyikiwa kw wakat wake 😂😂😂
moderator likes the thread...🤣Huu uzi ukibaki hewani..nitajua moderators mna ishu na mimi..
😂😂😂😂MuoneBado wewe!, nasubiri mchanganyikio wako sikuhiyo lazima kanda imeze redio!
tumezoea kuyasikia maneno haya lkn muda utafika utasaga mapengo!..😀😂😂😂😂Muone
Mimi kuchanganyikiwa Bado sana
Sorry my dear seems like mnajuana kweli. Ngoja ni edit paleUnanikosea bure
Najitahid kunywa dawa zangu baada ya kula hivo Bado 😂😂😂tumezoea kuyasikia maneno haya lkn muda utafika utasaga mapengo!..😀
rejea ile kauli yako "Tuwe tu na subra kilamtu atachanganyikiwa kw wakat wake"Najitahid kunywa dawa zangu baada ya kula hivo Bado 😂😂😂
Kuna thread nimeona wanarushiana missile za hatari.Tumbili ndio Mnyama anayemiliki jina moja lenye kua na tafsiri kwa Kiingereza hapo hapo,
''Tu'' (Two) mbili.
😀😀
Hello Rebeca nimetokea kukupenda naomba uwe mpenzi wangu
moderator wamependa!, ujue uzi haujavunja masharti sasa waufute wanini..??