[emoji3][emoji3] baby naona wako kimya sasaWatu wanavisa sana baby walitaka wasikie kwamba unanitolea maneno ya kashfa na kejeri sasa umewasuprise kwa kunipa moyo wako mtukuka niutunze
[emoji3][emoji3]
Haina haja kwani unahisi namfilisi baby??
Baby hata kabla haujaandika huu Uzi Mimi nilishakua wako tayariNingeshangaa sana kama usingenielewa baby u know now niko happy kusikia upo tayari kuwa na mimi
Haha haiwezi kosekana baby mwenyewe ananijua siombagi pesa ndogondogoHaaaaa naam, itafika kipindi hadi hela ya saloon itakosekanaa
[emoji3][emoji3][emoji3]Hawaamini kilichotokea baby umewasuprise
Tulingishie tu na sisi tutapata Wa kwetu [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndio muamimi sasa Zero IQ nimepata baby nitawanyanyasaje
Haha haiwezi kosekana baby mwenyewe ananijua siombagi pesa ndogondogo
Mtafutaji hachoki mkuu utapata mrejesho soon[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtapata lini sasa mkuu?
Hahahhahahaaaaa πππππππππ±Chit chat imepoa sana siki hizi hakuna kapo mpya zinazozaliwa
Yote hii kasababisha yule rais wa Russia
Unasema kweli mpenzi kumbe ni mimi tu nilikuwa najichelewesha
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tulingishie tu na sisi tutapata Wa kwetu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anaombaga pesa ya matumizi achana na hizo za kufirisiana kila siku unalia shida