Nakupenda sana yna2

Nakupenda sana yna2

Nikisemaa Nakupenda sidhani kama nitakuwa nimekosea,moyo wangu wote unawaza kuhusu wewe,kila tone ya pumzi yangu inayotoka inatoka kwa mapigo ya kutamka jina lako zuri,

yna2 unajua mapenzi yalivyo mwili unaleta tamaa na tamaa inaleta upendo ndani ya moyo ,

Vile ulivyoumbika kuanzia mguu wa Dompo,hipsi za beraile,zigo la kuvunja chaga,kiuno makinikia mwenzako niko hoi niruhusu nijenge kibanda,

yna2 nina mengi sana ya kuongea lakini Sitaweza kuyamaliza nikisema niyatamke ,haya machache yanatosha japo utaona hayana maana kwako.

I love u yna2

View attachment 948837
Ndio kwanza saa nne asubuhi alafu kijana wa magufuli anakua na mawazo mfu kama haya. Kwa mtindo huu Magufuli atajenga viwanda vyake mwenyewe.
 
Back
Top Bottom