Nakupenda sana yna2

Nakupenda sana yna2

Chunga sana mkuu siyo mali yako tena hii
Nipo kwenye kikao nyeti, baina ya AKILI YANGU vs MOYO WANGU. Ntatoa tamko/msimamo muda ukiwadia.[emoji18]

Ila kwaajili ya kupisha upelelezi/kikao, mzuie asiniite "SOULMATE", halafu na ile tatoo ya jina langu kiunoni aifute alio andika "ALEX THE GREAT'S PROPERTY" (gharama juu yangu hata akitaka kwenda kuifuta ulaya).[emoji57]
 
Back
Top Bottom