Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sio mimi alafu nipo serious kabisaKwa upumbavu wa vijana wa JF ya sasa sitostaajabu wewe ukiwa ni huyo Valuvalu umekuja na ID mbadala kujitongoza.
Leo tu kutokana naaneno yake ajabu nimevutiwa naekwan unamfahamu kabla au ndo leo tu🙄🙄
Tuwekee picha yake
Natamani ningemjuaTuwekee picha yake
Heshima kitu cha muhimu bro
Noma sura ya kazi Chura tuione ipo?
Duuuh ngoja aje tumsikie nayeyeLeo tu kutokana naaneno yake ajabu nimevutiwa nae
Tafadhali puuzia taarifa za uongo huyo sio yeyeNoma sura ya kazi Chura tuione ipo?
Unamjua live au mnajuana humu tu?Duuuh ngoja aje tumsikie nayeye
Sura hio kichwa cha HOWOTafadhali puuzia taarifa za uongo huyo sio yeye
ni humu tuUnamjua live au mnajuana humu tu?
Ila sio yeye tafadhaliSura hio kichwa cha HOWO
Haki za mtu zizingatiwe! Hata hivyo huyo kwenye picha nayeye pia anayo ikuluYani mtu hata humjui halafu unataka heshima tena.
Nishukuru nimelipa jina unalolipenda taswira. Sasa hivi hata ukipimpigia nyeto una taswira yake.
Sawa shem tuombee nikubaliweni humu tu
Hapa, kimbia usigeuke nyuma
Ndio Valuvalu wako huyo. Unategemea Rihanna kumbe Ebitoke. Tena usistaajabu ukakuta ni kinjemba chenye sura ngumu kama Kingwendu😂😂😂.Hali za mtu zizingatiwe! Hata hivyo huyo kwenye picha nayeye pia anayo ikulu
Rasmi nitaacha kuji dronedrakeSawa sawa