Nakupenda Valhalla

Unampenda Kingwendu ukidhani Rihanna😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂Ili tokea jamaa yangu walikutana na demu fesibuku si nikamsindikiza siku wanaonana bahati nzuri jamaa akasema tukae upande wa pili wa barabara ili akiwa mbaya tunachora dah na kweli demu alikuwa sura ngumu kama afande nyundo 😂😉 tunachora fasta akazima na simu
 
Ya jamaa yako yatakurudia sasa.

Humu kuna midume mingi inajifanya wanawake.
 
Unataka kuoenda wote walioko Jf😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…