Nakupenda....

Nakupenda....

hashycool

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2010
Posts
6,555
Reaction score
2,837
To all jf memberS...
Ningependa kufahamu wasemaje neno ''nakupenda''kwa kabila lako......
Believe me utanisaidia sana.....l.o.l
 
To all jf memberS...
Ningependa kufahamu wasemaje neno ''nakupenda''kwa kabila lako......
Believe me utanisaidia sana.....l.o.l

ingenoga zaid km UNGESEMA UNAYETAKA KUMWAMBIA NI KABILA GAN...najua unataka kumwambia mtu apo
mwambie ...NIKUGAN
 
Nakutogwile-nyamwezi

Mbona hii imekaa kama vile unamwimbia mtu kwamba...nakutongoza?

Hivi kwa kichina itatamkwa na kuandikwaje hapa?

Kwa kimasai tunasema..ngongongo na ngale!!!
 
ha hha ha ha haaaaaaa - kwa kweli leo nimecheka - halafu tukimaliza TUJULISHANE "JOGOO" kwa makabila tofauti
sounds real funny

"NEKUKUNDIE" - pare
 
Kwetu Northingham tunasema

I love you!
 
Back
Top Bottom