Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Nimekusikia ukisema kuwa hutafunga mipaka kuzuia chakula kuuzwa nje. Nakupongeza sana kwa hili. Kwa miaka mingi hilo suala limekuwa likimnyonya sana mkulima. Limedhoofisha na kilimo chetu.
Uamuzi wako unaweza pandisha bei ya chakula. Unaweza leta lawama, lakini ni uamuzi sahihi. Kilichobaki ni hili suala liwe kisheria. Labda wakati wa vita tu ndiyo uamuzi wa kufunga mipaka uweze kuchukuliwa.
Uamuzi wako unaweza pandisha bei ya chakula. Unaweza leta lawama, lakini ni uamuzi sahihi. Kilichobaki ni hili suala liwe kisheria. Labda wakati wa vita tu ndiyo uamuzi wa kufunga mipaka uweze kuchukuliwa.