Kadoda11 alinitishia upande ule wa Battle ya Nai vs Dar, sahi sijui atasema nini!! Mimi mwenyewe nilikuwa nikijua Simba itashinda!! Miaka mingi nimejua Simba na Yanga, sikutarajia Nakuru iwatoe kwenye ligi
Unless you don't know football,
Ni kawaida sana timu kubwa kufungwa hata na timu za Daraja la pili,
Halafu umeambiwa Simba waliwawekea wachezaji wa Majaribio.
Unless you don't know football,
Ni kawaida sana timu kubwa kufungwa hata na timu za Daraja la pili,
Halafu umeambiwa Simba waliwawekea wachezaji wa Majaribio.