Nakuru All Stars Yaichapa Simba mabao 5

Nakuru All Stars Yaichapa Simba mabao 5

Attimes it is good to keep quiet... Now Yanga is out.. # everything Danganyikan
Nilidhani mechi hii inachezwa leo, nikajua nitakuwa nimepata wasaa wa kuwaandaa vijana. Ratiba imenivuruga sikutimiza wajibu wangu. Tungewafunga wale weee!
 
Wabongo huwa wanatia huruma, kila kitu uswahili mwingi???? Angalia nchi yao na maisha yao kila siku, mara eti vita vya Kagera vilituchelewesha, mara ujamaa ulitulemaza, mara Mjerumani alituachia nchi bila maendeleo, mara hisa za Voda hatununui kwa sababu mzungu atahama, mara mlicheza na Simba timu B, mara hiki mara kile miaka yote maneno maneno bila matendo halafu mnasema hapa kazi tu.

Chezea Wakenya tutawanyoosha kwa kila kitu, kwanza mbio za Kilimanjaro huwa tamu, Wakenya huja a kunyakua kila kitu.
 
Back
Top Bottom