Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa likiwa la zamani linapotezaje uhalisia?Bangiiii... Tukio la zamani hili.
Sasa likiwa la zamani linapotezaje uhalisia?
Sasa unaposema la zamani unamaanisha nini au Chiloba kakuingilia kimwili huoni video vizuri.Mbon unababaika, wapi nimesema limepoteza uhalisia.
Hehe 😀 haya majibu bana, umekua Justice MK254 nini?Mbon unababaika, wapi nimesema limepoteza uhalisia.
Hehe 😀 haya majibu bana, umekua Justice MK254 nini?
Hujui unachoandika "tukio hakipotezi uhalisia hata kama wakirudia hyo video 2050 bado atapigwa kibao sasa wewe umesema ni ya zamani kana kwamba haina thamani tena" pambana na Chiloba na IEBC yenu kesho anza safari ya kusogea mpakani.Hehehe huwa inabidi kuwapa majibu yanayowapasa, kuna sababu kwanini taarifa huwekwa tarehe.
Ukiendelea hivi utaanza kutuambia shuleni tulienda kusomea ujinga. Waache wafute vumbi kwenye kumbukumbu, angalau tupunguze stress za siasa my Lord. Nimekuita hivo kwasababu sitaki kuchapwa la usoni my Lord. 😀😀😀Hehehe huwa inabidi kuwapa majibu yanayowapasa, kuna sababu kwanini taarifa huwekwa tarehe.
jamaa kasema tu hio habari ni ya zamani...mbona umepanic?? ama kiswahili pia kigumu hamwelewi...kwani amedanganya? ubaya wabongo wapingamizi mtu anataka apinge hata mambo madogo tu...Hujui unachoandika "tukio hakipotezi uhalisia hata kama wakirudia hyo video 2050 bado atapigwa kibao sasa wewe umesema ni ya zamani kana kwamba haina thamani tena" pambana na Chiloba na IEBC yenu kesho anza safari ya kusogea mpakani.
Hawa lugha huwapa shida sana, Kiswahili cha uandishi hawakiwezi, wamezoea lugha za mitaani etu buku jero.jamaa kasema tu hio habari ni ya zamani...mbona umepanic?? ama kiswahili pia kigumu hamwelewi...kwani amedanganya? ubaya wabongo wapingamizi mtu anataka apinge hata mambo madogo tu...