Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Jaji Mkuu wa Kenya, David Maraga na Mkewe, Yucabeth Nyaboke wamekimbizwa hospitali baada ya kupata ajali ya gari wakiwa Ngata, Nakuru
Wamepatwa na mkasa huo wakati wakirejea nyumbani kutoka Kanisani, wanaendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya War Memorial
Mipango ya kumhamishia katika moja ya Hospitali za Jiji la Nairobi inaendelea
======
The Chief Justice of Kenya, David Maraga and his wife Yucabeth Nyaboke were rushed to the hospital after being involved in a road accident in Ngata area, Nakuru.
The two were on their way to church when the incident occurred. They were rushed to War Memorial Hospital where they have been admitted.
Their vehicle’s bumper was badly damaged causing the airbags deploy.
The CJ was with his wife, driver and a security detail. He is reported to have suffered minor injuries. They are reported to be in a stable condition.
Plans to airlift the Chief Justice to Nairobi are currently underway.
Source: Kahawa Tungu