Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Toa maoni yakoJina la kombe liko so biased
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa maoni yakoJina la kombe liko so biased
Mnaweza fanyiwa figisu nyingi sana na serekale kuu mpaka mkakata tamaaToa maoni yako
nje ya madaMaajabu haya imarisheni kwanza ofisi zenu za makao makuu na huko kwenye kanda kabla ya kuja na hadithi kama hizi.
Mkikataa Tanzania litakwenda nchi nyingine , michuano hii ni fursa kwa vijana kuna mpunga mrefu sanaMnaweza fanyiwa figisu nyingi sana na serekale kuu mpaka mkakata tamaa
Bora mliite JPM SUPER CUP
Umenipa fursa ya kutoa maonj ili ufanye marekebisho yenye manufaaMkikataa Tanzania litakwenda nchi nyingine , michuano hii ni fursa kwa vijana kuna mpunga mrefu sana
Ushauri wote unapokelewa lakini si wote unaofanyiwa kaziUmenipa fursa ya kutoa maonj ili ufanye marekebisho yenye manufaa
Sasa tena unakuja na mikwara
Sidhani kama watayafitiniIcho kibali cha hayo mashindano kitatolewa nani huyo asieipenda kazi yake?
Ikifanikiwa wana CCM wengi watashiriki,unajua ukitaka kumjua adui yako vema ni bora ukaenae karibu umpekue vizuri nyeti zake.
Maajabu haya imarisheni kwanza ofisi zenu za makao makuu na huko kwenye kanda kabla ya kuja na hadithi kama hizi. basi na we anzoisha tukutane uwanjani
sawa mnyika tumekuelewaView attachment 1771556
Lengo langu ni kuhamasisha michezo nchini Tanzania na baada ya muda mfupi tutafika East and Central Africa , wadhamini wa ndani na nje ya nchi wamepatikana na mazungumzo yamefika pazuri .
Nakaribisha maoni ya namna nzuri ya kuendesha michuano hii ili kukidhi vigezo vya FIFA .
Karibuni