Nakusudia kuanzisha Ranch/Kufuga ng’ombe wa nyama- Naomba ushauri

Je mbuzi unawasafiriisha kwa staili gani ?
Je hio mbegu ya mapacha ni nzuri kwenye kuongezeka uzito. Bei za hao wa Songea zipoje.
Changamoto ya mbuzi local kasi yao ya kuongezeka uzito ni ndogo Sana,faida yao ni kuzaa mapacha tu.Ukitaka mbuzi wanozaa mapacha na wanaongezeka uzito tafuta mbuzi wanoitwa Malya,wapo. Kwenye kituo cha utafiti cha mifugo cha Kongwa-Dodoma cha serikali,tatizo kuwapata unaweza kuweka oda Dec.2023 ukawapata Dec.2024 au usipate kabisa.
 
Ok! Nashukuru.Umenijuza mengi .
Naona mabanda yako mazuri kuna la kujifinza.
 

Hii nyasi ninayo ni nzuri sana. Vipi unapatikana wapi? Je unasafirisha?
 
Mimi kama Range Scientist kutoka SUA nakuomba usome vizuri na ujibu maswali ya Malila (post #8) na yale ya Toofast (post # 9). Ukijibu hayo maswali vizuri utakuwa umepata andiko la mradi wa Ranch. Lakini Ranch haitakuwa na maana kama hautafanya beef cattle fattening. Na hapa cha kuzingatia, je! Ng'ombe utakuwa unazalisha mwenyewe hapo shambani au utakuwa unanunua waliokomaa tayari ili wewe ufanye kuwanenepesha tu? Ukitaka uwe na Ranch ya viwango tunaweza kukubaliana nikakutengenezea Ranch Planning (lakini hapa lazima ujipange maana kuna gharama). Ukishapata eneo nitakufanyia na rangeland inventories and monitoring kujua rangeland health and ecological integrity. Hapo nitakusaidia na kujua kama shamba lako linahitaji kupandwa nyasi upya au kuendeleza zilizopo? Pia kufanya herd projection, Karibu!
 
Mfugaji. .nguruwe 300 mpaka uende Indua kweli. Hao wanaliwa ndani ya wilaya moja teba hata wiki hawatoboi.
India na china uende ukifikisha nguruwe 5000 walau.
Eti kanasema kachinje nguruwe 10 per day ndiyo kapeleke China!
 
Unapanda mbegu au shina ?mbegu au shina. Kuna maswali pale hujayajibu.
Juncao na Napier grass zinapandwa kama miwa yaani zile cuttings zake. Vinakatwa vipande vipande vya kama futi 1 hivi! Hivyo ndivyo vinapimwa kwa kilo ambayo bei yake ni kati ya Tzs. 4000 -5000/= na kwenye kilo zinakuwa kama cuttings kati ya 10-16.
 
Safi
 
Huzo nyasi za kulisha ng'ombe 15 zinapandwa kwenye eneo la ukubwa gani ?
naombashesabu ya kupanda heka moja kwa mfugo mbuzi.
Ukiwachungia humo humo kwa mwaka mzoma watskula mbuz wangapi .
Mbuzi wa kienyeji walioshiba.
Mkuu kwa ushauri ukipanda usipeleke mbuzi au ng'ombe kula shambani, wakatie uwape ndani. Halafu ukikata majani usiwape on the spot wape baada ya masaa 48 kupunguza maji, ili wapate dry matter nyingi.
 
Mkuu kwa ushauri ukipanda usipeleke mbuzi au ng'ombe kula shambani, wakatie uwape ndani. Halafu ukikata majani usiwape on the spot wape baada ya masaa 48 kupunguza maji, ili wapate dry matter nyingi.
Nashukuru kwa ushauri ila bado sijaanza rasmi. Kuna mbuzi wanne tu nyumbani hao nomepewa na mzazi mpendwa.
Natarajia kuanza kuwanunua january.
Nomejifunza sana hapa. Nawashukuru kazi ipo kwangu kuwatafuta mbuzi eneo tayari ninalo la kutosha.
Nita update taarifa ntakapo anza.
 
Vip mkuu hao mbuzi malya hawapatikani sehemu nyingine tofauti na Kongwa Dodoma?
 
Broni anafikia uzito WA kilo elf 1 baada ya muda hani
 

Nitaenda kuwatafuta. Vipi bei zao?
 
Wako wapi mkuu?
 
Wazo lako zuri, lakini nahisi 400 bado ni wachache sana kuwasafirisha nje. Kwa nini usifikirie kuwa na idadi isiyopungua 5,000 na kuendelea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…