Nakusudia kuichangia CHADEMA lakini!

Nakusudia kuichangia CHADEMA lakini!

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi,

Nimefuatilia maendeleo ya uongozi mpya wa CHADEMA bado sijaona ubunifu au utofauti wao baina ya uongozi wa zamani na uongozi mpya.

Nimeamua nitachangia lakini kwa sharti moja kubwa iwapo nitaweza kupata uthibitisho Mwenyekiti Lissu amechangia kiasi gani.

Wakati wa kampeni za uchaguzi uliomalizika zilikuwepo tuhuma nzito kwamba Lissu hana msukumo wa kuchangia chama.Katika uchaguzi huo Lissu aliwekewa kiwango cha kuchangia chama kiasi cha Tsh 30 Million hakutoa ndururu.

Wakati akiwa Mbunge ulikuwepo utaratibu wa wabunge kuchangia chama Lissu hakuwa akitoa hata cent tano.

Lissu sasa ni Mwenyekiti wa chama ni vyema na haki ikiwa ataonyesha mfano mzuri wa kuchangia chama si kuwataka watu wengine wachangie wakati yeye binafsi hataki kuchangia.

Ngongo kwasasa Mikocheni.
 
Heshima sana wanajamvi,

Nimefuatilia maendeleo ya uongozi mpya wa CHADEMA bado sijaona ubunifu au utofauti wao baina ya uongozi wa zamani na uongozi mpya.

Nimeamua nitachangia lakini kwa sharti moja kubwa iwapo nitaweza kupata uthibitisho Mwenyekiti Lissu amechangia kiasi gani.

Wakati wa kampeni za uchaguzi uliomalizika zilikuwepo tuhuma nzito kwamba Lissu hana msukumo wa kuchangia chama.Katika uchaguzi huo Lissu aliwekewa kiwango cha kuchangia chama kiasi cha Tsh 30 Million hakutoa ndururu.

Wakati akiwa Mbunge ulikuwepo utaratibu wa wabunge kuchangia chama Lissu hakuwa akitoa hata cent tano.

Lissu sasa ni Mwenyekiti wa chama ni vyema na haki ikiwa ataonyesha mfano mzuri wa kuchangia chama si kuwataka watu wengine wachangie wakati yeye binafsi hataki kuchangia.

Ngongo kwasasa Mikocheni.
Hela yako baki nayo tu.Wenye kiu ya mabadiliko tunachangia kimya kimya.
 
Mimi sijaona umubimu wa wao kuchangiwa naonaga kama utapeli kama utapeli mwingine mwisho wa siku wanagawana

Kipindi cha nyuma watu walichangia sana ile kesi ya bandari watu walichangia mno kila siku ila waliishia kugawana wenyewe

Et oh mwanasheria gari haina mafuta wakachanga watu
Et lissu apate gari nyingine wakachanga watu
Ikaja chama kimnunulie mbowe gari la kustaafu sijui waliishia wapi

Nilitegemea pale wanapoona dosari kwa serikali kama vile mifumi ya maji au shule na serikali wanaona wangepitisha michango hiyo na wao wakawa mstari wa mbele kuboresha shule inge kaa poa
 
Kumeanza kuchangamka huko.


02F74711-3241-4CEA-921F-716BB5BAB4A1.jpeg
 
Heshima sana wanajamvi,

Nimefuatilia maendeleo ya uongozi mpya wa CHADEMA bado sijaona ubunifu au utofauti wao baina ya uongozi wa zamani na uongozi mpya.

Nimeamua nitachangia lakini kwa sharti moja kubwa iwapo nitaweza kupata uthibitisho Mwenyekiti Lissu amechangia kiasi gani.

Wakati wa kampeni za uchaguzi uliomalizika zilikuwepo tuhuma nzito kwamba Lissu hana msukumo wa kuchangia chama.Katika uchaguzi huo Lissu aliwekewa kiwango cha kuchangia chama kiasi cha Tsh 30 Million hakutoa ndururu.

Wakati akiwa Mbunge ulikuwepo utaratibu wa wabunge kuchangia chama Lissu hakuwa akitoa hata cent tano.

Lissu sasa ni Mwenyekiti wa chama ni vyema na haki ikiwa ataonyesha mfano mzuri wa kuchangia chama si kuwataka watu wengine wachangie wakati yeye binafsi hataki kuchangia.

Ngongo kwasasa Mikocheni.
Huyo tapeli alidai hakuna kifungu chochote kwenye katiba ya Chadema, kinachosema makamu mwenyekiti achangie milio30.

Kiufupi muungwana ni mchungu sana kwenye kujitolea hususani fedha kwaajili ya wengine, ispokua anapenda mno kuomba kuchangiwa yeye masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na pesa.

Inasemekana hata kanisani akienda huwa anachenji kabisa buku buku ili kama kuna sadaka mbili, ya kwanza atoe buku na sadaka ya pili atoe buku. Ni mchoyo sana huyo muungwana 🐒
 
Mimi sijaona umubimu wa wao kuchangiwa naonaga kama utapeli kama utapeli mwingine mwisho wa siku wanagawana

Kipindi cha nyuma watu walichangia sana ile kesi ya bandari watu walichangia mno kila siku ila waliishia kugawana wenyewe

Et oh mwanasheria gari haina mafuta wakachanga watu
Et lissu apate gari nyingine wakachanga watu
Ikaja chama kimnunulie mbowe gari la kustaafu sijui waliishia wapi

Nilitegemea pale wanapoona dosari kwa serikali kama vile mifumi ya maji au shule na serikali wanaona wangepitisha michango hiyo na wao wakawa mstari wa mbele kuboresha shule inge kaa poa
Wewe endelea kulalamika. Ukombizi utachukua miaka mingi sana.

Bora upoteze elfu moja yako kwa mwezi kuliko viongozi wakose pesa za kufanyia kazi kisa wewe unaogopa kuibiwa elfu moja.

Lissu ni mwaminifu, changia pesa
 
Wewe endelea kulalamika. Ukombizi utachukua miaka mingi sana.

Bora upoteze elfu moja yako kwa mwezi kuliko viongozi wakose pesa za kufanyia kazi kisa wewe unaogopa kuibiwa elfu moja.

Lissu ni mwaminifu, changia pesa
Kamwe sifanyi ujinga uho yaani nimpe tajiri pesa mimi sio bwege
 
Wewe endelea kulalamika. Ukombizi utachukua miaka mingi sana.

Bora upoteze elfu moja yako kwa mwezi kuliko viongozi wakose pesa za kufanyia kazi kisa wewe unaogopa kuibiwa elfu moja.

Lissu ni mwaminifu, changia pesa
Huyo ni UWT hana kitu ni tapeli tu
 
Heshima sana wanajamvi,

Nimefuatilia maendeleo ya uongozi mpya wa CHADEMA bado sijaona ubunifu au utofauti wao baina ya uongozi wa zamani na uongozi mpya.

Nimeamua nitachangia lakini kwa sharti moja kubwa iwapo nitaweza kupata uthibitisho Mwenyekiti Lissu amechangia kiasi gani.

Wakati wa kampeni za uchaguzi uliomalizika zilikuwepo tuhuma nzito kwamba Lissu hana msukumo wa kuchangia chama.Katika uchaguzi huo Lissu aliwekewa kiwango cha kuchangia chama kiasi cha Tsh 30 Million hakutoa ndururu.

Wakati akiwa Mbunge ulikuwepo utaratibu wa wabunge kuchangia chama Lissu hakuwa akitoa hata cent tano.

Lissu sasa ni Mwenyekiti wa chama ni vyema na haki ikiwa ataonyesha mfano mzuri wa kuchangia chama si kuwataka watu wengine wachangie wakati yeye binafsi hataki kuchangia.

Ngongo kwasasa Mikocheni.
🚮🚮🚮
 
Wewe UWT utowe wapi hela ya kuchangia hata kula kwenye unamtegemea shemeji ako, hama kwanza nyumbani kwa dada ako. Bando lenyewe la dada ako
Tatizo la wafia chama ni huu upumbavu wa kutokuhoji masuala ya msingi.
 
Chadema wanahitaji misaada ya watanzania wote wenye kiu ya mabadiliko maan CCM Ina pesa mpaka zinawawasha wanaamua kuzigawa hovyo hovyo Kwa mamluki (CHAWA) na wasanii wachumia tumbo
 
Mnatozwa kodi ambayo ni michango yenu na inatumika vibaya na hamlalamki.Chama kinaomba kuchangiwa ili kukiwezesha kutoa elimu kwa wananchi ili wapate ufahamu wa jinsi nchi yenu inavyofanya matumizi mabaya ya michango yenu mnalalamika vipinyie watanzania?
 
Back
Top Bottom