Nakusudia kuichangia CHADEMA lakini!

Nakusudia kuichangia CHADEMA lakini!

Hili ni neno....habari yake imekaa kinafki sana ...afu inaonesha hayupo kundini
Huyo alishajiapiza kuwa hatajishughulisha tena na Chadema baada ya Mbowe kushindwa uchaguzi hivyo hapa analeta kejeli tu, apuuzwe.
 
Heshima sana wanajamvi,

Nimefuatilia maendeleo ya uongozi mpya wa CHADEMA bado sijaona ubunifu au utofauti wao baina ya uongozi wa zamani na uongozi mpya.

Nimeamua nitachangia lakini kwa sharti moja kubwa iwapo nitaweza kupata uthibitisho Mwenyekiti Lissu amechangia kiasi gani.

Wakati wa kampeni za uchaguzi uliomalizika zilikuwepo tuhuma nzito kwamba Lissu hana msukumo wa kuchangia chama.Katika uchaguzi huo Lissu aliwekewa kiwango cha kuchangia chama kiasi cha Tsh 30 Million hakutoa ndururu.

Wakati akiwa Mbunge ulikuwepo utaratibu wa wabunge kuchangia chama Lissu hakuwa akitoa hata cent tano.

Lissu sasa ni Mwenyekiti wa chama ni vyema na haki ikiwa ataonyesha mfano mzuri wa kuchangia chama si kuwataka watu wengine wachangie wakati yeye binafsi hataki kuchangia.

Ngongo kwasasa Mikocheni.
Lissu ni mtu mchoyo na mbinafsi na mwenye husda sana. Maadam sasa amekuwa Mwenyekiti, hilo litadhihirika punde tu!
 
Lissu na Lema hawatachanga.Watawaachia mabwege wachange halafu wao wazitafune.
 
Hela yako baki nayo tu.Wenye kiu ya mabadiliko tunachangia kimya kimya.
Mabadiliko yanahusu na yeye Lisu kubadilika kama alikuwa hachangii Chadema sasa abadilike awe awe anachangia na atamke hadharani kabisa anachangia shilingi ngapi

Asisukumie tu wanachama

Vinginevyo guo wimbo wa mabadiliko hauna maana yoyote
 
Back
Top Bottom