Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Una ushahidi wakigawana au unaropoka kama mwehu/punguani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani hakujui wewe?Tatizo la wafia chama ni huu upumbavu wa kutokuhoji masuala ya msingi.
Nimeelewa sana na ndiyo maana nimekujibu hivyo nani asiyejua nongwa zako wewe? Ulishajiapiza kuwa hutajishughulisha tena na Chadema baada ya Mbowe kushindwa.Ungejitahidi kuelewa ingependeza sana.
Lakini hujawahi kumhoji Mbowe kuhusu ruzuku miaka yote.Tatizo la wafia chama ni huu upumbavu wa kutokuhoji masuala ya msingi.
Huyo alishajiapiza kuwa hatajishughulisha tena na Chadema baada ya Mbowe kushindwa uchaguzi hivyo hapa analeta kejeli tu, apuuzwe.Hili ni neno....habari yake imekaa kinafki sana ...afu inaonesha hayupo kundini
HakikaHuyo alishajiapiza kuwa hatajishughulisha tena na Chadema baada ya Mbowe kushindwa uchaguzi hivyo hapa analeta kejeli tu, apuuzwe.
Lissu ni mtu mchoyo na mbinafsi na mwenye husda sana. Maadam sasa amekuwa Mwenyekiti, hilo litadhihirika punde tu!Heshima sana wanajamvi,
Nimefuatilia maendeleo ya uongozi mpya wa CHADEMA bado sijaona ubunifu au utofauti wao baina ya uongozi wa zamani na uongozi mpya.
Nimeamua nitachangia lakini kwa sharti moja kubwa iwapo nitaweza kupata uthibitisho Mwenyekiti Lissu amechangia kiasi gani.
Wakati wa kampeni za uchaguzi uliomalizika zilikuwepo tuhuma nzito kwamba Lissu hana msukumo wa kuchangia chama.Katika uchaguzi huo Lissu aliwekewa kiwango cha kuchangia chama kiasi cha Tsh 30 Million hakutoa ndururu.
Wakati akiwa Mbunge ulikuwepo utaratibu wa wabunge kuchangia chama Lissu hakuwa akitoa hata cent tano.
Lissu sasa ni Mwenyekiti wa chama ni vyema na haki ikiwa ataonyesha mfano mzuri wa kuchangia chama si kuwataka watu wengine wachangie wakati yeye binafsi hataki kuchangia.
Ngongo kwasasa Mikocheni.
KumbeeeNimeelewa sana na ndiyo maana nimekujibu hivyo nani asiyejua nongwa zako wewe? Ulishajiapiza kuwa hutajishughulisha tena na Chadema baada ya Mbowe kushindwa.
Mabadiliko yanahusu na yeye Lisu kubadilika kama alikuwa hachangii Chadema sasa abadilike awe awe anachangia na atamke hadharani kabisa anachangia shilingi ngapiHela yako baki nayo tu.Wenye kiu ya mabadiliko tunachangia kimya kimya.