FADHILIEJ
Senior Member
- Nov 5, 2010
- 132
- 18
Nimekuwa mteja wa Airtel kwa muda mrefu sana,lakini tabia yao kukwepa kutoa msaada kwa wakati linaudhi sana,utakuta unapiga simu customercare lakini unachoambulia ni matangazo marefu yasiyo na msaada unaouhitaji,
Ukiacha hilo la wahudumu lingine ni hili la Bahati nasibu ambazo hazieleweki zinazokula hela za wateja wasio na hatia bila kusahau hili la kuahidi kutoa 200MB kila unapoongeza muda wa hewani,THEY ARE NOT OPEN na ukijaribu kutuma sms kama wanavyoelekeza unaambiwa hauna MB yeyote,hakuna pa kuuliza!!
Naomba kama AIRTEL WANANIPATA WANIPE MAJIBU SAHIHI,au kama kuna mwanaJF anayeweza kunipa soln anisaidie,VINGINEVYO KUNA HAJA YA KUWASHTAKI TUME YA MAWASILIANO au BARAZA LA USHINDANI.
Ukiacha hilo la wahudumu lingine ni hili la Bahati nasibu ambazo hazieleweki zinazokula hela za wateja wasio na hatia bila kusahau hili la kuahidi kutoa 200MB kila unapoongeza muda wa hewani,THEY ARE NOT OPEN na ukijaribu kutuma sms kama wanavyoelekeza unaambiwa hauna MB yeyote,hakuna pa kuuliza!!
Naomba kama AIRTEL WANANIPATA WANIPE MAJIBU SAHIHI,au kama kuna mwanaJF anayeweza kunipa soln anisaidie,VINGINEVYO KUNA HAJA YA KUWASHTAKI TUME YA MAWASILIANO au BARAZA LA USHINDANI.