Nakusudia kuitisha maadamano makubwa nchi nzima ili kupinga mgao wa umeme ambao ni wa kutengenezwa ili kuumiza wananchi!!

Kama huna Cha kupigania wakati watu wanateseka kwa kukosa umeme shughuli za uzalishaji zinakwama taifa linakosa Pato ila wewe unajitia woga na kuhangaika kazi kuwaza kungonoka tu nahisi unaishi Karne nyingi sana zilizopita
Wakenya waliingia na mawe na marungu barabarani kupigania kushusha bei za Unga, zilishuka?

wanasiasa wakaitwa kwny meza ya Asali na maziwa na sasa wamewashauru wafuasi wao waachane na hayo mawe waendelee kuchapa kazi

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Mimi siko hapa kuzungumzia kupanda kwa bei ya chakula elewa mada!! Napinga uzembe kwenye umeme. Ni uzembe tu Wala hakuna lugha nyingine ya kuelezea hilo suala
 
Mpe shule huyo tupunguze idadi ya wasiojielewa
 
Labda utaandamana na wenzako msioelewa mambo ya hali ya umeme mimi ninayeelewa nakuona kama hamnazo anayebwabwaja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…