Unaweza kuwa na points ila acha kuwa brainwashed kuwa mgao ni wa kutengeneza
Shirikisha akili yako ukiambiwa kitu. Hakuna mtu anaweza tengeneza mgao wa umeme nchi nzima.
Serikali kupitia mama yetu Rais was Tanzania ameshatoa miezi sita asisikie kelele za mgao was umeme. Kuwa mpole
Acha udwanzi, kanunue jenerata.Acha hoja za ajabuajabu watu tunajadili maisha tunataka umeme ya marekani unaniletea ya nini hapa ndani ya wiki hii nimeingia hasara kubwa sana kazi zangu zinategemea umeme sitaki porojo.
Kama Yuko kazini kipimo chake nataka umeme kazi zirejee kama kawaida.
Kumbe wakala wa jenereta nyie ndio mnazima umeme ili muuze majenereta yenu!? Maandamano yako pale paleAcha udwanzi, kanunue jenerata.
Tuliza kinanii wewe huna unachojua! tuliyopitia vyuoni hujui so U better learn firstHuna uwezo wa kuandamana "gashooor" weeee.....
Wewe hao jamaa zetu ni wajanja janja sana hapa wana visingizio viwili haijulikani kipi ni kipi mara mitambo mibovu mara maji hakuna ila serikali ya ccm ilishasema kuwa wakitaka kukata umeme huwa wanatafuta visingizio ndio kama hivi.Nani asiyejua zinazosuburiwa ni mvua za masika zitakazonyesha kwenye kipindi hicho?
Wewe hao jamaa zetu ni wajanja janja sana hapa wana visingizio viwili haijulikani kipi ni kipi mara mitambo mibovu mara maji hakuna ila serikali ya ccm ilishasema kuwa wakitaka kukata umeme huwa wanatafuta visingizio ndio kama hivi.
nchi inajitahidi hali ya sasa sio sawa na huko ilikotoka japo wanahitaji zaidi kuboresha vitu vidogo na tunawaona kabisa wanafanya hivyo ila hayo maandamano hayabadili sera wala wala hayata achieve chochote zaidi ya kuongeza matumizi ya kwenda kununua tear gas kuyadhibiti badala ya hio fedha kwenda kufanya mambo ya maendeleo sasa taifa ndio linapoteza always law lazima ziwe enforced and obeyed narudia pale pale hoja za maandamano ni ujuha wa kuzidisha umasikini ktk taifa masikini.Nasikitika kwamba hujui chochote zaidi ya matusi na jazba watawala nchi hii hawajawahi kuwa serious na changamoto za msingi za wananchi kikubwa sana wanawaza uchaguzi ujao tu.
Tatizo la kukatikakatika Kwa umeme kwa namna wanavyolielezea unajua kabisa tunaongozwa na watu wansotudharau kwa kiwango kisichokubalika.
Hakuna utawala duniani pote uliowahi kufanya vizuri pasipo shinikizo la raia ambao kimsingi ndio mabosi na waajiri wao.
[emoji2956][emoji2956]nchi inajitahidi hali ya sasa sio sawa na huko ilikotoka japo wanahitaji zaidi kuboresha vitu vidogo na tunawaona kabisa wanafanya hivyo ila hayo maandamano hayabadili sera wala wala hayata achieve chochote zaidi ya kuongeza matumizi ya kwenda kununua tear gas kuyadhibiti badala ya hio fedha kwenda kufanya mambo ya maendeleo sasa taifa ndio linapoteza always law lazima ziwe enforced and obeyed narudia pale pale hoja za maandamano ni ujuha wa kuzidisha umasikini ktk taifa masikini.
Nunua generatorJamani naomba mniunge mkono biashara yangu inakufa tra wanataka Kodi yao mwenye frem anataka Kodi yake nayaona maisha yangu yanakufa hivihivi.
Kilichonikatisha tamaa ni kuona serikali imerelax kabisa haina hata wasiwasi. Wanakuja na majibu rahisi mno, eti tusubiri miezi 6!
Naomba watanzania kwa umoja wetu tuungane bila kujali vyama vyetu maadamu unaumizwa na suala la kukatikakatika Kwa umeme, tuiambie serikali kwa njia ya maandamano makubwa yasiyo na kikomo mpaka iwashe umeme.
Haiwezekani watu tuliowaajiri watutatulie KERO zetu watupuuze namna hii.
Tuungane kusema noooo!!
Tunataka umeme au ondokeni ofisini.
Kila mahali yalikofanyika mageuzi na maandamano makubwa yalianzia social media ninachofanya hapa ni kuraise awereness nakuhakikishia kuzima haya maandamano nataka umeme uache kukatikakatikaKama huna pesa shauri yako, endelea kucheka. Na utaandamana humuhumu Twitter na ma warriors wenziyo wa key board
Maandamano ni sawa na sheriaUpuuzi mtupu maendeleo hayaletwi kwa kuandamana tufanye kazi nchi masikini hii wewe na mimi tugundue product tuuze nje ya nchi na mengine mengi ya kuongeza pato na vipato kwa taifa ili tujikwamue maandamano ni ujuha tu hautaleta mkate mezani wala umeme.
Huna hoja kwa nini umtake mke wangu natangulia mimi wewe lala na mke wako nyumbani kwako wakati wanaume tunapigania maslahi yakoUtangulize mke wako mbele
Kama huna Cha kupigania wakati watu wanateseka kwa kukosa umeme shughuli za uzalishaji zinakwama taifa linakosa Pato ila wewe unajitia woga na kuhangaika kazi kuwaza kungonoka tu nahisi unaishi Karne nyingi sana zilizopitapengine yeye ndio Mke mwenyewe, tumshauri na Mumewe awepo
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Bado naendelea na vikao na kamati yangu tunafanya maazimio lakini tukishafikia muafaka tutawatangazia ummaYataanzia wapi ili wadau wajue?!!!
Kwamba kaajiriwa Kwa akili ya kuzima umeme. [emoji847][emoji847]Inasikitisha sana mtu anaamka asubuhi anavaa suti vizuri na anaaga familia yake anaenda kazini kumbe kazi yenyewe ni kuzima umeme,
Sent using Jamii Forums mobile app