Nakusudia kuwafikisha Mahakamani Lowasa, Membe na Sitta

Teknolojia ni jambo la kuogopwa sana..

Angalia sasa anavyoumbuka, ukiachana na hoja yake ya ushahidi amemuita lowassa majina yote mabaya , mpaka alizotumia ameziita kharamu, haya sasa huyo mwanaharamu ndiye mjumbe wenu wa kamti kuu na anategemea kugombea tena urais 2020 kuptia chama chako kitakatifu..

Teknolojia iogopwe jamani
 
Hah hah hah hah Mzee wa Akili Kubwa.

Siye tunawachora tu mnavyowaita wenzenu wasaliti.
 
Dah!! Alishaenda mahakamani au ilikuwa mbwembwe tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…