Habari WanaJF
Mimi ni mwanamke wa miaka 32 na Nina mtoto mmoja. Nimekuja jukwaa hili mahusi kutafuta mwanaume aliye single na yuko matured kujenga familia.
Awe na miaka 33 na kuendelea na awe mkristo, akiwa na mtoto itapendeza zaidi. Awe muwazi na mkweli. Awe na shughuli ya kumpa kipato halali.
Kama una sifa hizo karibu sana PM.
Mimi ni mwanamke wa miaka 32 na Nina mtoto mmoja. Nimekuja jukwaa hili mahusi kutafuta mwanaume aliye single na yuko matured kujenga familia.
Awe na miaka 33 na kuendelea na awe mkristo, akiwa na mtoto itapendeza zaidi. Awe muwazi na mkweli. Awe na shughuli ya kumpa kipato halali.
Kama una sifa hizo karibu sana PM.