Nakutahadharisha ewe ndugu yangu unayejiita jasiri, epuka kulitaja jina lile

Nakutahadharisha ewe ndugu yangu unayejiita jasiri, epuka kulitaja jina lile

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Japo haijatajwa sababu ya kwann umeshushwa kwenye bajaji na ukapandishwa kwenye bodaboda, lkn mtazamo wa wengi ni kwamba uliendelea kusifia jina la bosi wako wa zamani ukalididimiza na kulidhihaki la huyu wa sasa.

Ukataka kujivika ushofeli na umwamba kwa kuyaazima matendo na maneno ya lile jina ambalo kimsingi hakuna anayetaka hata kulisikia.

Ukiwa kwenye bodaboda hiyo tafadhali chunga mdomo wako. Usilitaje jina lile litakuletea dhahama. Utashushwa tena kisha upandishwe baiskeli.

Lkn ya nini uhangaike na mavi ya kale? Kubali ama kataa lile jina ni sawa na mavi ya kale, kamwe hayanuki.

Ni hayo tu. Ni mm nduguyo G4N, ninayekuusia.
 
Comrade makonda lazima angelitumia kukuza chama hakuna jina jingine zaidi ya hilo mkuu!ulitaka aseme jina la nani Sasa wakati Bandari imeenda,umeme sarakasi,wizi was panya!uongo wa karne!

Jpm ataendelea kutamkwa Hadi apatikane mwingine mwenye hulka yake !hamna namna !!

Jina la mama halina mvuto chawa wenyewe wameelemewa kabisa!!
 
Halafu akiendelea ataambiwa ni mchapakazi hodari , lakini sasa atateuliwa kuwa Mkuu wa wilaya.
Ha ha ha .....!!
1712317404751.png
 
Ajue sasa Sponsor sio Muuaji, inatakiwa kipaji kuzisoma alama za nyakati.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Mavi ya kale hayanuki ila yamesababisha mtu kushushwa cheo?
 
  • Kicheko
Reactions: G4N
Back
Top Bottom