Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Chai,.oloshoo!!!!Mumu huyo ana haribu ndoa ya watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chai,.oloshoo!!!!Mumu huyo ana haribu ndoa ya watu
HahahaaMahaba ya kitanga tuu. Keshazoea akirudi chumba kinanukia asmin. Bado nimebebe kwenda kuoga na maji nimetia mdalasini. Lazima adate
nani kasema [emoji20][emoji20][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Braza si msha achana huyoo!
Me huwezi nielewaa[emoji20] [emoji20] [emoji24]nieleweshe ww tafadhali mamii [emoji17]
Nooh! Hakuna hajaMueleweshe jamaniii
[emoji20] [emoji20] [emoji20]mm nimefika muda tu...nakuona ww upo busy na 3D tu[emoji20]
Kwa hiyo braza funga kesimm nimefika muda tu...nakuona ww upo busy na 3D tu[emoji20]
Mmh,...kakaaaNooh! Hakuna haja
Mkaushie tuu
nitakuelewa tu ivo ivoMe huwezi nielewaa[emoji20] [emoji20] [emoji24]
[emoji19][emoji19][emoji19]Nooh! Hakuna haja
Mkaushie tuu
Usjali mi ntaongea na mumuNaamin wew ukiwepo hawez kuharibu
ndio[emoji20] [emoji20] [emoji20]
Nini kinaendelea jamaniiUsjali mi ntaongea na mumu
Si pia kuwaachanisha watu
Mumu huwa ana nielewa
Hakuna kesi hapa brotherKwa hiyo braza funga kesi
Unachagua
Mzigua90 au mumu?
[emoji23] [emoji23]Chai,.oloshoo!!!!
Kwelii?nitakuelewa tu ivo ivo
Mzigua93 Unaambiwa [emoji116]Nakutakia usiku mwema bint mrembo, (naita dhahabu ndani ya kariakoo nzima - Dully ),
Mungu akuepushe na vishari vya usiku,
Mungu akulinde na mafundo kwa wenye kupuliza,
Mungu akulinde na hasidi kwa wenye kuhusudu,
Usiku mwema Mzigua90
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmh,...kakaaa
Braza hebu eleweka uko upande gani[emoji19][emoji19][emoji19]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hakuna kesi hapa brother