Nakutana na vituko kazini ila kwa hiki cha jana ngoja niseme tu

Nendeni mkajipange tena,madakitari gani waongo waongo. Mwingene alipost riwaya hii jana
 



Wewe sio daktari, kama ni Dr tayari umeshavunja miiko ya Udakrari kwa kumwaga siri za mgonjwa wako hadharani.

Ulichotakiwa ungeeleza tukio zima kwa ujumla wake bila kuspecify features za mgonjwa mwenyewe.

Umetupatia somo lakini katika njia isiyostahili.
 
Dr Iyunga. Hili tukio tayari lilisharipotiwa na Dr mwingine hapa [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Discussing issue and cases doesn’t divulge clients confidentiality, labda kama tafsiri yako ya usiri ni tofauti na tunayoifahamu sisi

Discussing issues and cases? Unadiscuss na nani? Kwa lengo lipi? Umetumia modality ipi ya kudiscuss? Content ya discussion yako imekuwaje?
Suppose wewe ndo unayelambwa, umeenda kwa Daktari, initially haukutqka hata kudisclose kwa Daktari, baadaye baada ya kutishiwa (kama alivyosema) mwenyewe ukaamua kufunguka.
.
.
Baadaye unakuta story yako ipo kwa mitandao watu wanaidiscuss?

WTF!!?? Utasema hajataja jina.. Still nitasema, Damn it, WTF!!!???
 
Kwahiyo hospitali ikisema ina wagonjwa 10 wa Corona bila kusema ni akina nani. Confidentiality imevunjwa

Upo nje ya mada. Mfano wako ni tofauti kabisa na kilicholetwa na mtoa mada.

Jamaa amefanya kosa kubwa. Mada haijawa na lengo la kuelimisha, content ilivyokuwa presented... Nimeshangaa dunia ya leo mgonjwa anatishiwa ili aseme ukweli.

Kudiscuss cases inakubalika ili kusaidiana kupata utatuzi, lkn kuna namna njema ya kuleta mada kitaaluma..
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kumbe ndiyo maana wema anapenda vimbwa namna ile na kuvipa special huduma kumbe ndiyo kazi yao hiyo..🀣🀣🀣🀣🀣🀣..jamani..pole kwa huyo dada
 
Mkuu kweli umehamua kunipora madaraka yangu bila hata ya uchaguzi mkuu??

amu secretary wangu hizi taarifa unazo?

πŸ˜‚πŸ˜‚ Hahah mkuu kumradhi, tupo pamoja kujenga na kukisimamisha chama chetu, swala la madaraka tukutane October πŸ˜…
 
hakutakiwa hata mke wake kumweleza siri za wagonjwa wake.. yeye kaamua kuanika JF mwemweleeeee.... huyo hata wagonjwa wa ukimwi anawataja..
Jamaa Katoa elimu kwa sisi ,na huwezi kumtambua mgonjwa,Daktari na hata Hosptali..sasa we unaumia sisi kupata elimu ? au nyie ndio wale wale..
 
Laana zao zitawaaibisha hawa nguruwe subiri kiama kinakaribia....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…