Nakuzimikia sana MBITIYAZA

Nakuzimikia sana MBITIYAZA

nanyupu wanaume siku hzi wamekuwa adimu hawatongozi tena ! binafs siamin sana km upo serious na kunipenda ! kweli bwana hujakosea kuniita single maza ! sina mume achana na demi ,Neybright ,Cajojo shida yao wanataka niendelee kupauka tu ! watasema sana lakini ziba maskio !

nipo tayar ht kwa ndoa ya boman mkuu ! hata mwez ujao nippo tayar !nimechoka sana maisha ya upweke umekuja damu changa kwa muda muafakaa !njoo tujiachie ,twende beach kupunga upepo,tule maisha!

popote ulipo nanyupu jua nimekukubalia ombi lako ! umekuja muda muafaka na ada ya wanangu ya term ya 2 sikuwa nimeliipia asante ukaaye palipoinuka kuniletea mtu huyu !

tuanze kwanza na la school fees mengine yatafuata!

pia nina kabinti kameshavunja ungo december nataka kumcheza (baba alikua mzaramo kuchezwa lazima) hvyo uje pm tuanze maandalizi ya shughuli


NAKUPENDA nanyupu ! uwe na usk mwema
Huu mpango siumini naona kama ni ubuuyu tu

Ila sio kama naona wivu jinsi nanyupu atakavyo faidi LA hasha

Nahisi tunaibiwa mawazo hapa

Don't mind me
 
nanyupu wanaume siku hzi wamekuwa adimu hawatongozi tena ! binafs siamin sana km upo serious na kunipenda ! kweli bwana hujakosea kuniita single maza ! sina mume achana na demi ,Neybright ,Cajojo shida yao wanataka niendelee kupauka tu ! watasema sana lakini ziba maskio !

nipo tayar ht kwa ndoa ya boman mkuu ! hata mwez ujao nippo tayar !nimechoka sana maisha ya upweke umekuja damu changa kwa muda muafakaa !njoo tujiachie ,twende beach kupunga upepo,tule maisha!

popote ulipo nanyupu jua nimekukubalia ombi lako ! umekuja muda muafaka na ada ya wanangu ya term ya 2 sikuwa nimeliipia asante ukaaye palipoinuka kuniletea mtu huyu !

tuanze kwanza na la school fees mengine yatafuata!

pia nina kabinti kameshavunja ungo december nataka kumcheza (baba alikua mzaramo kuchezwa lazima) hvyo uje pm tuanze maandalizi ya shughuli


NAKUPENDA nanyupu ! uwe na usk mwema
Ahaaaaaahaaas
 
Huu mpango siumini naona kama ni ubuuyu tu

Ila sio kama naona wivu jinsi nanyupu atakavyo faidi LA hasha

Nahisi tunaibiwa mawazo hapa

Don't mind me


hhahaha huamini km nadaiwa ada? au
huamini km namcheza my first born dec?
au huamni km nimekubali ombi lake??
 
Hio sentensi ya mwisho ndo povu langu lilipo lalia haswaaa

Don't mind me

teh! amini !me sijatamkiwa hata shikamoo jaman khaa mkuu niwache!hii kwangu' fulusa'

peace upon to u
 
Back
Top Bottom