Nakwenda Moshi na gari binafsi. Niweke mafuta kiasi gani?

Nakwenda Moshi na gari binafsi. Niweke mafuta kiasi gani?

Hongera, endesha kwa usalama. Zingatia sheria za usalama.

Inashauriwa iwe na co-driver.
 
La msingi ni kujua gari lako linatumia mafuta aina gani na kwa lita moja linatembea kilomita ngapi halafu total km gawanya kwa kilomita za lita moja. Baada ya kupata jibu ongeza lita za dharura.
 
Humo barabarani kuna watu wengi wa magari binafsi wanaendesha vibaya sana!

Yani mwendokasi na overtaking zisizo na hesabu kuchomekea kwa sana [emoji848][emoji848]

Yaani mpaka unajiuliza hivi hao jamaa dereva na walopakiwa hivi wana maono kweli?
 
Kuleni siku kuu kisha mrejee salama kwa kufuata sheria za usalama barabarani.

Ombi langu na kutaka kwangu wale wahuni watakao endesha magari kwa mwendokasi barabarani na overtaking za hovyo Basi ikibidi ajali wajisababishie wenyewe na kudhurika wenyewe.

Wasisababishie matatizo watu ambao ni innocent.

Yawapate mabaya wao wenyewe baba .

Mchuma janga ale na wakwao.
 
Kuna watu baada ya muda utasikia hawapo tena Eti sababu ya ajali ambazo zinaepukika?! [emoji848][emoji848]

Mimi Naomba nijifunze kuwa na moyo mgumu nisihuzunike sababu ya mtu au watu walopata ajali sababu ya mwendokasi na overtaking za hovyo.
 
Naondoka asubuhi na gari yangu binafsi Harrier 2006 cc 2360 kwa mara ya kwanza.

Gari ni mpya kilomita 560 from Dsm to Moshi niandae lita ngapi.

Natumia ac mwanzo mwisho driving speed 80 to 120.
Nimechelewa kuona uzi wako.........nilitaka kujua kama ulishawahi kusafiri safari ndefu kabla.
 
Nimechelewa kuona uzi wako.........nilitaka kujua kama ulishawahi kusafiri safari ndefu kabla.



Swali zuri sana,

Maana uendeshaji wa njia kuu unahitaji uzoefu.

Barabara ni nyembamba sana, zilijengwa kwa vipimo vya zamani ya ukoloni.

Yaani kupishana na gari kubwa inabidi kwanza ujue kupunguza mwendo kabla kisha ujue kuji-adjust kimtindo kwa kusogea na kujibana upande wako.

Vinginevyo ukikariri kusema unaendesha ndani ya upande wako bila kuji adjust utai pata flesh ma taharuki nyingi njiani na misonyo [emoji57][emoji19]
 
Swali zuri sana,

Maana uendeshaji wa njia kuu unahitaji uzoefu.

Barabara ni nyembamba sana, zilijengwa kwa vipimo vya zamani ya ukoloni.

Yaani kupishana na gari kubwa inabidi kwanza ujue kupunguza mwendo kabla kisha ujue kuji-adjust kimtindo kwa kusogea na kujibana upande wako.

Vinginevyo ukikariri kusema unaendesha ndani ya upande wako bila kuji adjust utai pata flesh ma taharuki nyingi njiani na misonyo [emoji57][emoji19]
Kuna Trip Nilisonya na kutukana hadi nafika Home, Highway michezo michafu mingi ukisema ufate sheria unasababisha ajali au unaweza kusababishiwa ni kuwa tu fair.
 
Back
Top Bottom