Nakwenda Mtwara

Nakwenda Mtwara

Iwensanto

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
1,228
Reaction score
1,157
Habari jukwaani humu ni mara yangu ya kwanza kusafiri kuelekea Mtwara lengo likiwa ni biashara tafadhali.

Naomba msaada wa kupata hoteli nzuri iliyo katikati ya mji kuanzia sh. 30,000 mpaka 40.
Kupata sehemu ya kupanga ofisi na nyumba ikiwezekana na bei na bei zake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari jukwaani humu ni mara yangu ya kwanza kusafiri kuelekea Mtwara lengo likiwa ni biashara tafadhali.
Naomba msaada wa kupata hoteli nzuri iliyo katikati ya mji kuanzia sh. 30,000 mpaka 40.
Kupata sehemu ya kupanga ofisi na nyumba ikiwezekana na bei na bei zake.


Sent using Jamii Forums mobile app
NAF Hotel uliza ya hapo mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hotel ni nyingi mkuu.. Kama ktkt ya mji NAF Hotel itakufaa, zipo nying ila hii iliyopo karibu na makumbusho ya Mkoa itakufaa, karibu sana kusin,i karibu Mtwara..
 
Corona imezima uchumi halafu wewe unaenda kufungua ofisi?Jiandae kulia!
 
Back
Top Bottom