Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

Nalalamikiwa, nimfanyie nini mpenzi wangu zaidi ya haya?

Kumpikia mmeo, kumtayarishia nguo, maji n.k ni utumwa???? Ooopsss kama ni utumwa nipo tayari kufungwa minyororo na kuchapwa mijeredi.....is there anywhere nimeandika huo ni wajibu wa kila mwanamke???nah huo ni wajibu wangu mie ES

Umerudia Mara kadhaa kwenye comments kwamba ni wajibu wa mwanamke.

Ni utumwa kama Mwanamke hapendi hizo shughuli, kama mimi hapa. Of course you enjoy your "responsibilities".

Watu wajue tu Kuna Aina za wanawake, wanaoona ni wajibu wao, na wanaoona wanakufanyia favour or just spicing things up.

Aina moja isijifanye ni sheria na kuonyesha nyingine ionekane ina matatizo.
 
Umerudia Mara kadhaa kwenye comments kwamba ni wajibu wa mwanamke.

Ni utumwa kama Mwanamke hapendi hizo shughuli, kama mimi hapa. Of course you enjoy your "responsibilities".

Watu wajue tu Kuna Aina za wanawake, wanaoona ni wajibu wao, na wanaoona wanakufanyia favour or just spicing things up.

Aina moja isijifanye ni sheria na kuonyesha nyingine ionekane ina matatizo.

Nakubaliana na wewe kama unafanya wakati hapendi huo ni utumwa, ila mie napenda nnachokifanya..... Cheers
 
Teh gelofriend bila shaka hata ye ukimuuliza anaweza kua hajui may be nikupe kamfano kadunchu jana mchana mida ya kula nimemnawisha mikono nikampakulia akaanza kula mara kidume cha mbegu kinazunguka pale (our son) nikamchukua kumlisha daddy kamaliza kula mie namlisha mtoto akaanza kunawa mwenyewe eeh nkashangaa analalamika kuwa anajinawisha mwenyewe simhudumii au nlitakiwa nimuache kidume cha mbegu nimnawishe? Maisha ni magumu mweh.... Kuna vitu vidunchu ila vinaumizaga kichwa unaweza hata usilale unakiwaza tu japo kidogo

he! huyo mji... oooh samahani kumbe tunayemzungumzia hapa ni mume wako... kama unafanya yote hayo hasa kwenye dunia hii ya digital na usawa kwa wote hongera sana.. wanawake wachache sana wa kisasa wanaweza hayo,

tukirudi kwa shem, huyo amelewa (upendo) na anadeka so huna namna na hawezi kubadilika, we vumilia tu na endelea hivyo hivyo na majukum yako
 
Mbwa mzee kujifunza mbinu mpya hili nalo tatizo tena tatizo kubwa.

Huwa naona real men The Boss akiwa among wanasema mwanaume anahitaji mambo matatu: food, sex and space.

Katika hayo mambo kwakweli am doing the best inawezekana kabisa nina mapungufu yangu ila am doing the best kwakweli, food, napika japo sio bonge moja la mpishi kama farkhina but I cook tena delicious ones, sex hii si kuwa tu ni wajibu ila ni hobby yangu kitu ikiwa hobby kifuatacho itv ni known kabisa, space hapa kidogo pananishinda japo najitahidi ila sio kwa fungulia doggy, anaechungwa ni mbuzi kwa binadamu tunafanya kukaba tu japo kukaba kwenyewe ni kulinda bahari ila hivo hivo tu almradi kuna kibao "Punguza mwendo kazi inaendelea mbele" tunapunguziana speed natoa space kwa kiasi Chake may be majukumu yakinizidi itakua zaidi ya hapo.

Apart from hivo vitatu nafanya na mengineyo mengi napika mwenyewe simuachii dada wa kazi, mezani naweka mwenyewe kumake sure kila kitu kipo sawa, nguo nasaidiwa kufua ila boxa nafua mwenyewe, nanyoosha mwenyewe, asubuhi naanda maji ya moto napeleka bafuni (bafu halina heater) muda huo nshaweka nguo za kazini standby na viatu nimebrush kabisa mara chache naandaa Chai sio kila siku kwasababu ni mvivu kula BADILI TABIA bila shaka unanishangaa sana make haya mambo hautajagi ha ha ha nishangae tu ukinishangaa nami na kushangaa.

Swala la heshima na kujali nikijifanyia assessment najiona nina 99%,i do respect him much, much kwakweli nikijilinganisha na ndugu, jamaa na rafiki am the best, naweza kuwavisit katikati ya maongezi mara wachambane na waume zao mara wawafokee kitu ambacho mi huwa nashangaa unawezaje kumchamba mmeo au kumfokea mbele za watu mmh sijawahi na sitakaa nithubutu nikikereka nangoja tukiwa wawili nikiona nachelewa kutoa dukuduku naandika meseji.

Kuna shost angu alishawahi kunitembelea akaishia kunishangaa inakuaje nanyoosha nguo za baby dady yeye wanaishi wote ila hajawahi kumfulia wala kumnyooshea nikamshangaa pia na kuzidi kujiona am the best mie ni "mwanamke" hizi huduma nazionaga kwa wamana watu wazima ndo wanawalea waume zao ila mie kwa age yangu tu hii najiona nipo kama mama lowasa ha ha .

Point yangu what else should I do? Pamoja na kujiona mwanamke, najiona kama mama Lowassa ila bado nalalamikiwa jamani wanaume zaidi ya haya kunakuna yapi tena?au ni human nature tu kwamba hatunaga kuridhika? Au kunanii?
Anapiga teke bakuli ya dhahabu. Njoo unipe mambo hayo
 
kw
Mbwa mzee kujifunza mbinu mpya hili nalo tatizo tena tatizo kubwa.

Huwa naona real men The Boss akiwa among wanasema mwanaume anahitaji mambo matatu: food, sex and space.

Katika hayo mambo kwakweli am doing the best inawezekana kabisa nina mapungufu yangu ila am doing the best kwakweli, food, napika japo sio bonge moja la mpishi kama farkhina but I cook tena delicious ones, sex hii si kuwa tu ni wajibu ila ni hobby yangu kitu ikiwa hobby kifuatacho itv ni known kabisa, space hapa kidogo pananishinda japo najitahidi ila sio kwa fungulia doggy, anaechungwa ni mbuzi kwa binadamu tunafanya kukaba tu japo kukaba kwenyewe ni kulinda bahari ila hivo hivo tu almradi kuna kibao "Punguza mwendo kazi inaendelea mbele" tunapunguziana speed natoa space kwa kiasi Chake may be majukumu yakinizidi itakua zaidi ya hapo.

Apart from hivo vitatu nafanya na mengineyo mengi napika mwenyewe simuachii dada wa kazi, mezani naweka mwenyewe kumake sure kila kitu kipo sawa, nguo nasaidiwa kufua ila boxa nafua mwenyewe, nanyoosha mwenyewe, asubuhi naanda maji ya moto napeleka bafuni (bafu halina heater) muda huo nshaweka nguo za kazini standby na viatu nimebrush kabisa mara chache naandaa Chai sio kila siku kwasababu ni mvivu kula BADILI TABIA bila shaka unanishangaa sana make haya mambo hautajagi ha ha ha nishangae tu ukinishangaa nami na kushangaa.

Swala la heshima na kujali nikijifanyia assessment najiona nina 99%,i do respect him much, much kwakweli nikijilinganisha na ndugu, jamaa na rafiki am the best, naweza kuwavisit katikati ya maongezi mara wachambane na waume zao mara wawafokee kitu ambacho mi huwa nashangaa unawezaje kumchamba mmeo au kumfokea mbele za watu mmh sijawahi na sitakaa nithubutu nikikereka nangoja tukiwa wawili nikiona nachelewa kutoa dukuduku naandika meseji.

Kuna shost angu alishawahi kunitembelea akaishia kunishangaa inakuaje nanyoosha nguo za baby dady yeye wanaishi wote ila hajawahi kumfulia wala kumnyooshea nikamshangaa pia na kuzidi kujiona am the best mie ni "mwanamke" hizi huduma nazionaga kwa wamana watu wazima ndo wanawalea waume zao ila mie kwa age yangu tu hii najiona nipo kama mama lowasa ha ha .

Point yangu what else should I do? Pamoja na kujiona mwanamke, najiona kama mama Lowassa ila bado nalalamikiwa jamani wanaume zaidi ya haya kunakuna yapi tena?au ni human nature tu kwamba hatunaga kuridhika? Au kunanii?
enye mgegedo ulishawahi kukalia bastola?...
 
Mbwa mzee kujifunza mbinu mpya hili nalo tatizo tena tatizo kubwa.

Huwa naona real men The Boss akiwa among wanasema mwanaume anahitaji mambo matatu: food, sex and space.

Katika hayo mambo kwakweli am doing the best inawezekana kabisa nina mapungufu yangu ila am doing the best kwakweli, food, napika japo sio bonge moja la mpishi kama farkhina but I cook tena delicious ones, sex hii si kuwa tu ni wajibu ila ni hobby yangu kitu ikiwa hobby kifuatacho itv ni known kabisa, space hapa kidogo pananishinda japo najitahidi ila sio kwa fungulia doggy, anaechungwa ni mbuzi kwa binadamu tunafanya kukaba tu japo kukaba kwenyewe ni kulinda bahari ila hivo hivo tu almradi kuna kibao "Punguza mwendo kazi inaendelea mbele" tunapunguziana speed natoa space kwa kiasi Chake may be majukumu yakinizidi itakua zaidi ya hapo.

Apart from hivo vitatu nafanya na mengineyo mengi napika mwenyewe simuachii dada wa kazi, mezani naweka mwenyewe kumake sure kila kitu kipo sawa, nguo nasaidiwa kufua ila boxa nafua mwenyewe, nanyoosha mwenyewe, asubuhi naanda maji ya moto napeleka bafuni (bafu halina heater) muda huo nshaweka nguo za kazini standby na viatu nimebrush kabisa mara chache naandaa Chai sio kila siku kwasababu ni mvivu kula BADILI TABIA bila shaka unanishangaa sana make haya mambo hautajagi ha ha ha nishangae tu ukinishangaa nami na kushangaa.

Swala la heshima na kujali nikijifanyia assessment najiona nina 99%,i do respect him much, much kwakweli nikijilinganisha na ndugu, jamaa na rafiki am the best, naweza kuwavisit katikati ya maongezi mara wachambane na waume zao mara wawafokee kitu ambacho mi huwa nashangaa unawezaje kumchamba mmeo au kumfokea mbele za watu mmh sijawahi na sitakaa nithubutu nikikereka nangoja tukiwa wawili nikiona nachelewa kutoa dukuduku naandika meseji.

Kuna shost angu alishawahi kunitembelea akaishia kunishangaa inakuaje nanyoosha nguo za baby dady yeye wanaishi wote ila hajawahi kumfulia wala kumnyooshea nikamshangaa pia na kuzidi kujiona am the best mie ni "mwanamke" hizi huduma nazionaga kwa wamana watu wazima ndo wanawalea waume zao ila mie kwa age yangu tu hii najiona nipo kama mama lowasa ha ha .

Point yangu what else should I do? Pamoja na kujiona mwanamke, najiona kama mama Lowassa ila bado nalalamikiwa jamani wanaume zaidi ya haya kunakuna yapi tena?au ni human nature tu kwamba hatunaga kuridhika? Au kunanii?
Pole sana
 
Teh gelofriend bila shaka hata ye ukimuuliza anaweza kua hajui may be nikupe kamfano kadunchu jana mchana mida ya kula nimemnawisha mikono nikampakulia akaanza kula mara kidume cha mbegu kinazunguka pale (our son) nikamchukua kumlisha daddy kamaliza kula mie namlisha mtoto akaanza kunawa mwenyewe eeh nkashangaa analalamika kuwa anajinawisha mwenyewe simhudumii au nlitakiwa nimuache kidume cha mbegu nimnawishe? Maisha ni magumu mweh.... Kuna vitu vidunchu ila vinaumizaga kichwa unaweza hata usilale unakiwaza tu japo kidogo
 
Anapokuwa analalamika anakuwa serious au yupo kawaida.Yawezekana analalamika kiutani but hamaanishi ili kukufanya usijisahau sana hasa katika hiki kipindi ambacho mna mtoto.Nnachomaanisha usibase kwa mtoto kiasi yeye umsahau.Hongera mana unajitahidi sana aisee

Gelofr hizi nyingine hapa nafanya kuassume tu so usikwazike mwaya
1.Kauli zako je especially ukiwa na hasira? Inawezekana ukawa huwezi kumfokea mbele za watu lakini huku ndani humkwepeshi ( maana gelofriend una tumajibu amazing) " kiboro dinda wee" nk

Afu hapo kwenye space, maana sijasahau kama huwa unakaba hadi notifications teh. Huyo ni mumeo learn to trust him unless kuna Vitu anakuwa anafanya ambavyo huvielewi elewi. Hakuna privacy kati yenu lakini usimkabe hadi ikawa kero, Mpe kauhuru kidogo. Honestly hata mimi sipendi mtu ambaye ananikagua 24/7, nahisi kama siaminiki vile.

Umehisi shem ana tumawasiliano na mtu mwingine huko. Please thibitisha kwanza afu deal kwanza na shem alone (nakuaminia kwa katimbwili amazing), asipoelewa basi ndo msake huyo binti umpe "grand warning". Lakini umekuta tu text ushaanza kumchamba mdada, utakuja kumistake hata na ndugu zake. Inaaibisha muda mwingine

Umemdekeza sana!

Anadhani wewe ni ----- kwa kuyafanya hayo yote, so anatest zari au anatafutia sababu ya hata akienda kula kwa watu (akibadili mboga) ionekane wewe ndiyo chanzo.

Anza kumkazia taratibu baadhi ya vitu.

Sema nae! Kuna sababu za yeye kulalamika....!
Pia usitegemee kumridhisha mtu 100% .

Msome jamaa yako.

Kuna binadamu hawaridhiki. Hata ufanyaje itaishia kuvunj8ka pingili za mgongo tu.

Cha msingi umetimiza wajibu wako na umeutimiza vyema.

Mwambie pia risk za space.....sumu.haijaribiwi kwa kuonja. Lazima ajue nafasi yake kwa shemeji kwanza.

Then be good, and appreciate.

Hahahah ndiyo hataki shobo za kuomba bia kisa umepewa reputation point

Ila my reporter Imebidi nicheke, nakumbuka ule uzi tunalalamika wanaume kutaka hadi kuvalishwa socks, maji bafuni, kunawishwa. Kumbe wapo wanaume wanaofanyiwa yote hayo na hawaridhiki. Hata kama ana mapungufu yake ile gelofriend wangu anajitahidi jamani. Evelyn Salt naweka booking ya kitchen party mapemaaa. Mtoto mbaya wewe loooh

Do you think hayo yote nafanya kibandindu? Nabembeleza
 
he! huyo mji... oooh samahani kumbe tunayemzungumzia hapa ni mume wako... kama unafanya yote hayo hasa kwenye dunia hii ya digital na usawa kwa wote hongera sana.. wanawake wachache sana wa kisasa wanaweza hayo,

tukirudi kwa shem, huyo amelewa (upendo) na anadeka so huna namna na hawezi kubadilika, we vumilia tu na endelea hivyo hivyo na majukum yako
 
Umerudia Mara kadhaa kwenye comments kwamba ni wajibu wa mwanamke.

Ni utumwa kama Mwanamke hapendi hizo shughuli, kama mimi hapa. Of course you enjoy your "responsibilities".

Watu wajue tu Kuna Aina za wanawake, wanaoona ni wajibu wao, na wanaoona wanakufanyia favour or just spicing things up.

Aina moja isijifanye ni sheria na kuonyesha nyingine ionekane ina matatizo.
 
Back
Top Bottom