Curtis De Mi Amor
Senior Member
- Jan 9, 2022
- 136
- 514
Iko hivi, nina mshkaji wangu peace sana tunaelewana mtu wa kazi kazi.
Nayeye ana mshkaji wake sasa ilitokea wakagombana kisa mikopo maana mwana alienda kopa na mwana ndio alimdhamini. Sasa kwenye marejesho mwana kala chocho, hivyo msala ikabidi mshkaji ausolve ukaisha. Ghafla mwamba huyu hapa katimba, wakatemeana mbovu mixer kushikana mashati.
Kesi ikatimba kwa mapai jamaa akatoka kwa dhamana, kwanzia hapo ni paka na mbwa hawaelewani wala kusemeshana. Sasa majuzi nilikaa na mshkaji tunapiga stori za hapa na pale si rafiki yangu kaninunia kisa nimepiga stori na adui.
Sasa cjui kama mimi ndio nina kosa au yeye ndo mwenye kosa. Ila ukikutana na hali kama hiyo unaisolve vipi haswa mkikuta wote watatu ni marafiki na imetokoa wawili kati yenu hawaelewani?
Nayeye ana mshkaji wake sasa ilitokea wakagombana kisa mikopo maana mwana alienda kopa na mwana ndio alimdhamini. Sasa kwenye marejesho mwana kala chocho, hivyo msala ikabidi mshkaji ausolve ukaisha. Ghafla mwamba huyu hapa katimba, wakatemeana mbovu mixer kushikana mashati.
Kesi ikatimba kwa mapai jamaa akatoka kwa dhamana, kwanzia hapo ni paka na mbwa hawaelewani wala kusemeshana. Sasa majuzi nilikaa na mshkaji tunapiga stori za hapa na pale si rafiki yangu kaninunia kisa nimepiga stori na adui.
Sasa cjui kama mimi ndio nina kosa au yeye ndo mwenye kosa. Ila ukikutana na hali kama hiyo unaisolve vipi haswa mkikuta wote watatu ni marafiki na imetokoa wawili kati yenu hawaelewani?