Nalazimishwa Kutofanya Mapenzi Bila Kupenda!

Nalazimishwa Kutofanya Mapenzi Bila Kupenda!

ushauri wangu n hv
ukitaka kugegeda nenda na huyo demu kwenye kabur la babu ako then omba ridhaa yake.
 
Yeah ni kweli kabisa nuksi mikosi na bahati vyote vinapatikana kwa wanawake ukikosea utaishi maisha ya tabu sana.huu sio uchawi bila ndivyo ilivyo bisha uwezavyo jibu litabaki lile lile matatizo mengi huanzia kwa wanawake. Hakuna uchawi ubaya kama ukitegewa kupitia mwanamkee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbwa ukimzoesha nyama ya buchani atakula nyama ya buchani kila siku na siku akiikosa kwako ataenda kuiba bucha. Nakutakia makazi mema mikononi mwa shetani.
 
Yeah ni kweli kabisa nuksi mikosi na bahati vyote vinapatikana kwa wanawake ukikosea utaishi maisha ya tabu sana.huu sio uchawi bila ndivyo ilivyo bisha uwezavyo jibu litabaki lile lile matatizo mengi huanzia kwa wanawake. Hakuna uchawi ubaya kama ukitegewa kupitia mwanamkee

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu waambie wengi wamekulia ushuani hivi vitu hawajui..
 
Mbwa ukimzoesha nyama ya buchani atakula nyama ya buchani kila siku na siku akiikosa kwako ataenda kuiba bucha. Nakutakia makazi mema mikononi mwa shetani.
Asante Mkuu nakuahidi kukumbuka katika Ufalme wa Baba yangu
 
Kwahiyo unataka kutuambia huyo mpenzi ulituambia amebadilika na amekwambia hakupendi kama zamani ni mweupe? na hamjawahi kuzini?
Mweupee wa kawaida
 
Waligundua udhaifu wako ni wanawake ndo maana wakaamua kukuundia movie LA kukutisha, na walijua unatamaa na wanawake mababu zetu Wa zamani walikuwa na akili sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom