Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Wadau za pilika zinasemaje?
Kuna dada yangu mmoja kutoka kolomije anaitwa nalendwa huyu dada ni mrembo lakin hayuko romantik kabisa hata kidogo
Kwanza mda wote utamkuta jukwaa la kimataifa akijadil habar za vita na akina kokuyo na group lao. Yaan ndege zote za kivita za kimarekan, kirus na kiisrael anazijua
Makombora yote ya masafa marefu ya bwana kim anayajua
Yaan manowar zote za mrus anazijua had majina yake
Alafu kinachonisikitisha zaid lugha anayotumia ni kizungu tu
yaan iran akizindua bom jipya tiar nalendwa utakuta kashajua linauwezo gan na linaweza hata piga yerusalem
Nalendwa anamjua had wazir wa ulinz wa iran na marekan, anajua had ni nan yuko nyuma ya vita inayoendelea huko mashariki ya kat
Cha pili yeye mda wote yuko jukwaa la michezo akijadil sijui man city itapigwa mkono na man u, sijui mara lukaku ni noma hata mess hamfikii na story zingine kuhus mchezo
Iv kweli wadau ukiwa na demu kama NALENDWA unaweza hata kumudanganya kitu kuhusu michezo na makombora ya masafa marefu?
.raha ya demu awe hajui chochote kuhusu mchezo na habar za kivita
Sasa huyu nalendwa hii tabia kaitoa wapi?
Badilika bhana nalendwa yaan kiukweli hauko romantik kabisa msukuma mwenzangu
LONDON BOY
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Wadau za pilika zinasemaje?
Kuna dada yangu mmoja kutoka kolomije anaitwa nalendwa huyu dada ni mrembo lakin hayuko romantik kabisa hata kidogo
Kwanza mda wote utamkuta jukwaa la kimataifa akijadil habar za vita na akina kokuyo na group lao. Yaan ndege zote za kivita za kimarekan, kirus na kiisrael anazijua
Makombora yote ya masafa marefu ya bwana kim anayajua
Yaan manowar zote za mrus anazijua had majina yake
Alafu kinachonisikitisha zaid lugha anayotumia ni kizungu tu
yaan iran akizindua bom jipya tiar nalendwa utakuta kashajua linauwezo gan na linaweza hata piga yerusalem
Nalendwa anamjua had wazir wa ulinz wa iran na marekan, anajua had ni nan yuko nyuma ya vita inayoendelea huko mashariki ya kat
Cha pili yeye mda wote yuko jukwaa la michezo akijadil sijui man city itapigwa mkono na man u, sijui mara lukaku ni noma hata mess hamfikii na story zingine kuhus mchezo
Iv kweli wadau ukiwa na demu kama NALENDWA unaweza hata kumudanganya kitu kuhusu michezo na makombora ya masafa marefu?
.raha ya demu awe hajui chochote kuhusu mchezo na habar za kivita
Sasa huyu nalendwa hii tabia kaitoa wapi?
Badilika bhana nalendwa yaan kiukweli hauko romantik kabisa msukuma mwenzangu
LONDON BOY