Nalia na bodi ya mikopo[heslb]

Nalia na bodi ya mikopo[heslb]

ASCUDA T

Senior Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
120
Reaction score
33
Naumia Nikimkumbuka Mtoto Aliye Na Wazazi Maskini Hata Kujenga Nyumba Ya Udongo Ni Shida, Nalia Pamoja Na Watoto Waliokosa Mkopo Huku Wazazi Wao Wakilipwa Fidia Ndogo Kupisha Mabepari Wakiendelea Kuiba Utajiri Wetu, Nalia Pamoja Watoto Wa Maskini Waliyosoma Kwa Pesa Za Vitumbua Na Maandazi Na Xasa Wamenyimwa Mkopo, Tazama Wanasema Kipaumbele Kipaumbele Kipi Wakati Taifa Linahitaji Wataalamu Nyanja Zote. Nimesoma Kwa Kujituma Tena Kwa Kibatari Leo Mnaninyima Mkopo. Ok Mungu Tenda Hukumu Ya Haki Maana Kama Nchi Yangu Inashika Nafasi Ya Pili Duniani Kunyanyasa Wazee Huku Wao Wanatembelea Magari Ya Kifahari, Watoto Wao Wanasoma Shule Za Kifahari Ambazo Mtoto Wa Maskini Hana Ndoto Mungu Haoni! Anaona Siku Zaja Mungu Anaweza Yote. J4 Tuwaombe Haki Zetu Wakituua Mungu Atatupokea. Asanteni Na Tumtegemee Mungu Kwa Tuliyokosa Mkopo
 
CCM nafsi huwa zinawasuta kwa wanayowafanyia watanzania.
 
poleni sana, yani naumia sana mnavyotoa madukuduku yenu jaman kuhusu hawa bodi ya mikopo
 
kiukweli inauma sana jaman yan me mwenyewe ni miongon ila kesho bora kufa tu huu ni unyanyasaji kiukweli
 
Huu ni unyanyasaji wa kutosha kabisa kwa sababu watoto wao wanapata mikopo wakati wanauwezo mkubwa kabisa wa kujisomesha,
 
Tatizo letu sis WATANZANIA,,ni kwamba uchaguzi ukifika,,,akili zetu zinabadilishwa kwa kanga,,,vijisenti vya pombe,,yaaani,,,sasa hawa jamaa kimsingi tumewachoka,,wananchi wote wanalalamika,,wakulima wanadanganywa tu,,sera zao ni kwamba elimu kwa wote,,,utulivu,,,hizo ndio sera zao,,,utulivu wakati sisi wengine tunakosa fursa za kusoma?utulivu wakati wengine mnakula milo saba kwa siku?utulivu gani wakati viongozi wanatembelea ''long American cars''ambazo zinatumia mafuta ambayo kwa siku ni ada ya mwanafunzi mmoja mpaka wawili?we acha tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
Jaman tuko pamoja ila me hata nauli ya kuja huko dar cna..! Ni zaidi ya laki moja afu wananiambia nikajisomeshe fees mil 1.5 bado meals na accomodation.! Hili ni janga la jamii
 
Atakayepta wa kumkopa akope,wakuuza alichonacho auuze,mradi tuu hyo siku ya kesho hasikose mtu,mana kiama cha wasiokuwa na elimu chaja,serikal inajifanya haijui lolote wamekaa kimya kazi kupanga jinsi ya kutuibia kuptia tozo za kodi.KESHO NDO KESHO BOLA KUITWA AL.ALSHABAB KULIKO KUENDELEA KUWAKUMBATIA MAFSADI WA ELIMU.
 
jaman kesho 2wepo wote kiukweli 2kiwa weng wataona kua wa2 wapo serious jaman mkopo ni haki ye2 ya msing
 
Back
Top Bottom