CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Ilipaswa wapumzishwe au kufanyiwa rotations za kimkakati. Mechi na Dodoma jiji ililazimika aingie Israel kuwasaidia.Wakuu
Binafsi toka msimu ulioisha nimeona ile quality ya zimbwe na mwenzie kapombe inapungua na mistakes zinakuwa nyingi hasa kwa kapombe
Mfano Kapombe unakuta anatoa pasi sio sahihi, akipanda anachelewa kurudi, krosi Mara apige nje, muda mwingi naona tunaangalia kijui kiungo, sijui ushambuliaji ila maeneo ya full back kunihitaji rotations.
Ni kweli Kapombe na Zimbwe ni fullbacks bora kuwahi kutokea Tanzania ila swali ni kweli zaidi ya misimu 5 bado quality inaendelea kuwa ile ile, hapana. Kiubinadamu haiwezekani lazima wadrop, ndio nilichokiona mimi since msimu uliyoisha.
Ushauri: Kama Simba umekosa fullbacks wa kuwapa changamoto kwenye wachezaji wa ndani, kwanini usitenge mzigo wa kutosha na kutafuta fullback mzuri ambaye anaweza kucheza hata namba zote 2 na 3 ili aweze kuwapa changamoto?
Nahitaji maoni yenu wadau, ahsanteni, nawasilisha.
Simba 2 - 0 Dodoma FC... ila swali ni kweli zaidi ya misimu 5 bado quality inaendelea kuwa ile ile, hapana. Kiubinadamu haiwezekani lazima wadrop, ndio nilichokiona mimi since msimu uliyoisha.
Toa pesa watu wakalete fullbacks mnao wataka, unaongea huku pesa haitoki mfukoni mwako,Naunga mkono hoja ila Kapombe msimu uliopita alikuwa kiwango cha juu. Kwenye ngao Kapombe alipwaya kiasi, nakumbuka kusema hivyo mechi na Singida. Zimbwe nilishamuongelea sana nikaonekana labda ni hater au nataka kumuharibia rizki yake, nikawaachia wakulungwa waliseme wenyewe wakati ukifika.
Shida ya Simba wachezaji ambao ndiyo "weakest link" ndiyo macaptain kwa hiyo shughuli ya kuwaweka benchi inakuwa ngumu hata kwa kocha.
Yanga walifika fainal ipi? Na walianza michuano ipi? Huyo kocha aliye achiwa majukumu hakuwepo tangu mwanzo, wakati wanafurushwa na Al hilal?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chekini yanga walifika hadi fainali coz ya kumuachia majukumu kocha.....sisi Simba Nini kimetuloga???.....tunaipenda Sanaa timu yetu Ila kuna muda inabidi tuwaachie wenye profession zao....ww unajidai kuujua mpira umesomea wapi ww???au kuangalia TU kwenye Tv ndio unahisi Ni rahisi kiasi hicho????.....hapana!!!!.....
Mimi mbona sina shida na wachezaji waliopo 😟😟Toa pesa watu wakalete fullbacks mnao wataka, unaongea huku pesa haitoki mfukoni mwako,
Wee kuwezaa?