Nzige Mdudu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,048
- 830
Hahahaha mkuu umenifurahisha sana hawa jamaa walikua maarufu sanq, ngoja niongezee kina Pimbi, mzee kifimbo cheza, lodilofa, madenge n.kHayo na magazeti maarufu ya burudani miaka ya 90s mpaka, kwa wakazi wa dar walikuwa wanaelewa sana hizo kitu huwaambii kitu gazeti moja linatuzwa linasomwa na mtaa mzima, unasoma kila siku story hazichoshi, kuna watu walikua maaraufu kuliko wanasiasa, kina kipepe, lodi lofa, mapun'go, bettina na zena..
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Siyo dar, nchi nzimaHayo na magazeti maarufu ya burudani miaka ya 90s mpaka, kwa wakazi wa dar walikuwa wanaelewa sana hizo kitu huwaambii kitu gazeti moja linatuzwa linasomwa na mtaa mzima, unasoma kila siku story hazichoshi, kuna watu walikua maaraufu kuliko wanasiasa, kina kipepe, lodi lofa, mapun'go, bettina na zena..
Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Ibra Washokera (Radi) asisahaulike!
Kama gazeti la sani lilikuwa lina subiriwa kwa hamu kubwa sana
Ha ha ha๐๐คฃMkuu apa nipo na gazeti la bongo linaloonesha zawadi ya uwanja mpira kutoka Hyati Mkapa , kwa wa watz .kinachonichekesha ni
Mapungu kuajiriwa kuchezea klabu ya mambele ,kosa linakuja anapokwenda disco ,anapata demu mkali wanaenda Gest ,Then mapungo anafumaniwa Hadi na waandishi wanampigwa picha ,Kisha picha zinazagaa Kila mahali Hadi kwa kocha kwa aibu afukuzwa............,
Bongo bhana,sijui nitaipatawapi?
Hatari sana hili jarida asee. Lilikua linatoka mwezi mpaka mwezi lkn hiyo shauku ya kulisubiri ilikua kubwa. Wale waliokua wanachora picha za rangi pale njee ni watu hatari sana. Kupitia jarida la bongo ndio nilimjua mtunzi Eddie Ganzel. Huyu alikua mtu na nusu kwenye utunzi. Majarida kama yale yanachochea sana ari ya watu kupenda kusoma. Kwa sasa ni historia.Dah gazeti la Bongo lilikuwa sio mchezo, yale mastori ya mule ndani ni zaidi ya bongo muvi zote kombine hazifikii utamu hule, halafu kwa wale mabaharia tunaopenda unyamwezi lilikuwa gazeti letu sana, na stori yetu ya "msako wa mr x", gazeti lilikua na harakati za maisha nyingi sana. Halafu pale mbele kulikuwa na picha ya stori ya mwezi unakuta bonge mmoja la mdada kakamilika kila idara, halafu pembeni kuna bishoo mmoja matata sana si mchezo..
Mpaka machozi yamekaribia kudondoka.Zamani rahaaaaa.[emoji23][emoji1787]Mkuu apa nipo na gazeti la bongo linaloonesha zawadi ya uwanja mpira kutoka Hyati Mkapa , kwa wa watz .kinachonichekesha ni
Mapungu kuajiriwa kuchezea klabu ya mambele ,kosa linakuja anapokwenda disco ,anapata demu mkali wanaenda Gest ,Then mapungo anafumaniwa Hadi na waandishi wanampigwa picha ,Kisha picha zinazagaa Kila mahali Hadi kwa kocha kwa aibu afukuzwa............,
Bongo bhana,sijui nitaipatawapi?
He remains the best among the many better cartoonists
Aisee chalii unaongelea nini I? Yanisikupati kabisa naona mauza uza ariifffUnawakumbuka ,Nchumali,Bob mikwara,Wapinzani wa jadi,dunia gunia ,Halali ya mshezi toleo 89 WABIRIANIA HALALII BAMIA ๐
Aisee chalii unaongelea nini Yanisikupati kabisa naona mauza uza ariifff
Hilo songi Aisee mtu wangu Inanikumbusha mbali kichiz. Ulimbwa na Justin bibier akiwashirikisha msondo ngoma"Usilolijua litakusumbua",song
Ivi iliimbwa na bendi gani, mkuu. Rekebisha hayo maneno yenye red๐
Sumbukuku.
90s๐
Only๐ ๐ถ๐ถ
Kuna Bob mikwara,chepe,pepe,Dr love pimbi,mzee Nani na wakeze,kulikuwa na mapacha wanazingua hamna mfanoDaahh Bob mazishi,pimbi,lod lofa ,zena betina,
Mabushi star na town Starr hahaaahaaa mechi yao haikua ya kitoto !!!
Tanzania kulikua na vipaji vya kuchora