Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Mkuu ukiyapata nitag pleaseNaomba uniazime please. Npo so sensible sio mharibifu nitayasoma na kukurudishia uendeleze library yako makini kabisa Dr Lizzy
Kindly pm. Thanks
WaDah gazeti la Bongo lilikuwa sio mchezo, yale mastori ya mule ndani ni zaidi ya bongo muvi zote kombine hazifikii utamu hule, halafu kwa wale mabaharia tunaopenda unyamwezi lilikuwa gazeti letu sana, na stori yetu ya "msako wa mr x", gazeti lilikua na harakati za maisha nyingi sana. Halafu pale mbele kulikuwa na picha ya stori ya mwezi unakuta bonge mmoja la mdada kakamilika kila idara, halafu pembeni kuna bishoo mmoja matata sana si mchezo.
Biashara Ile awamu ikawa hailipi tenaDah gazeti la Bongo lilikuwa sio mchezo, yale mastori ya mule ndani ni zaidi ya bongo muvi zote kombine hazifikii utamu hule, halafu kwa wale mabaharia tunaopenda unyamwezi lilikuwa gazeti letu sana, na stori yetu ya "msako wa mr x", gazeti lilikua na harakati za maisha nyingi sana. Halafu pale mbele kulikuwa na picha ya stori ya mwezi unakuta bonge mmoja la mdada kakamilika kila idara, halafu pembeni kuna bishoo mmoja matata sana si mchezo.
Na ukiliazimisha linarudi limechakaa😁Kama gazeti la sani lilikuwa lina subiriwa kwa hamu kubwa sana