Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo PM tujadiliane kama naweza kukuunganisha na mhusika pale DomHabari zenu wadau,
Jamani nimeandika huu ujumbe maana sasa imekuwa kisanga kwanza ni mwaka sasa nahangaika na mfumo wa ajira portal bila mafaniko na kila nikiwapigia siimu hawapokei, nourishing kipipigwa block tu. Nimejaribu kwenda pale DSM, posta kwenye ofisi za utumishi nikaambiwa niende Dodoma.
Mwenye msaada ajitokeze
View attachment 2015314
Weka katika size na mfumo wanaotaka. Itakubali.Tatizo langu ni kuupload picha, mara ya kwanza ilikua kubwa baada ya kupunguza inagoma kuupload
huna ulijualo , hicho kitu hakipo ,Mkuu mbona maelezo hapo yanajitosheleza kukueleza nini tatizo lako....
Kingine: Nasikia hio system unaweza register hata zaidi ya mara moja,, so fanya achana na hio account anza kuregidter upya..
Weka email nyingine then fanya usajili upya kisha endelea kuteseka - in Mpango voice hadi pale utakapopata kazi...
SIRI kubwa ya utumishi watu siku hizi wana BET,, una apply kwa account tofauti nyingi ,, hasa hizi ajira za walimu, madaktari..ndio maana unaona wakitangaza majina kuna watu huwa wanajirudia rudia sana.. Fanya hvo
Thank me later
huna ulijualo , hicho kitu hakipo ,
Tuwasiliane mkuu nikupe mbinu ya kufanyaTatizo langu ni kuupload picha, mara ya kwanza ilikua kubwa baada ya kupunguza inagoma kuupload
Hakuna kitu kama hichi. Unaweza kufungua account nyingi ila uwezi kutumia namba ya NIDA kwenye account mbili au zaidi ni moja tu. Mimi nikiteseka mpaka nikajua namna ya kuset mambo. Muda mwingine pdf zinakataa kuupload so weka picha maana format zinazokuwa supported ni pdf, jpg na png. Niliweka picha zikakubali na hivi sasa nimeitwa kwenye usaili .Mkuu mbona maelezo hapo yanajitosheleza kukueleza nini tatizo lako....
Kingine: Nasikia hio system unaweza register hata zaidi ya mara moja,, so fanya achana na hio account anza kuregidter upya..
Weka email nyingine then fanya usajili upya kisha endelea kuteseka - in Mpango voice hadi pale utakapopata kazi...
SIRI kubwa ya utumishi watu siku hizi wana BET,, una apply kwa account tofauti nyingi ,, hasa hizi ajira za walimu, madaktari..ndio maana unaona wakitangaza majina kuna watu huwa wanajirudia rudia sana.. Fanya hvo
Thank me later
Solves????Asante Mkuu jamaa walipokea simu na issues iko solves
Sawa mkuuAsante Mkuu jamaa walipokea simu na issues iko solves
Kwa sasa hv haiwezekani ukiwwka namba yako ya Nida tu kwisha habari yakoMkuu mbona maelezo hapo yanajitosheleza kukueleza nini tatizo lako....
Kingine: Nasikia hio system unaweza register hata zaidi ya mara moja,, so fanya achana na hio account anza kuregidter upya..
Weka email nyingine then fanya usajili upya kisha endelea kuteseka - in Mpango voice hadi pale utakapopata kazi...
SIRI kubwa ya utumishi watu siku hizi wana BET,, una apply kwa account tofauti nyingi ,, hasa hizi ajira za walimu, madaktari..ndio maana unaona wakitangaza majina kuna watu huwa wanajirudia rudia sana.. Fanya hvo
Thank me later
Kwahiyo ukishatumia email nyingine na namba ya NIDA unaenda kutafuta nyingine isiofanana na taarifa zako za awali ambapo mfumo hautakutambua?Mkuu mbona maelezo hapo yanajitosheleza kukueleza nini tatizo lako....
Kingine: Nasikia hio system unaweza register hata zaidi ya mara moja,, so fanya achana na hio account anza kuregidter upya..
Weka email nyingine then fanya usajili upya kisha endelea kuteseka - in Mpango voice hadi pale utakapopata kazi...
SIRI kubwa ya utumishi watu siku hizi wana BET,, una apply kwa account tofauti nyingi ,, hasa hizi ajira za walimu, madaktari..ndio maana unaona wakitangaza majina kuna watu huwa wanajirudia rudia sana.. Fanya hvo
Thank me later
Kwahiyo ukishatumia email nyingine na namba ya NIDA unaenda kutafuta nyingine isiofanana na taarifa zako za awali ambapo mfumo hautakutambua?
Kwa sasa hv haiwezekani ukiwwka namba yako ya Nida tu kwisha habari yako
Nipe namba yako nikutafute nikupe maelekezo ya nini cha kufanya