Nalima mchicha mara ya tatu unakataa

Nalima mchicha mara ya tatu unakataa

Kivipi mkuu?

Nimepanda muchicha almost 2 or 3 times umegoma kuctawi, ni oposite na bada la dogs,, vilevile wanakojoa na kunya iyo sehemu,,uenda mojawapo ya sababu mchicha hushindwa kuctawi. But mboga zingine zinakubari vizuli sana.
 
Back
Top Bottom