Nalipenda draft shida naliotaga usiku nikianza kulicheza badala ya kuota ndoto za kitajiri

Nalipenda draft shida naliotaga usiku nikianza kulicheza badala ya kuota ndoto za kitajiri

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Draft linazingua kinyama ukiliacha kucheza muda mrefu ukirudi kucheza game na wazoefu utafungwa hata kama unalijuaga.. Sasa kitendo cha kutamani kufungua fumbua code za ushindi kinapelekea usiku eti umelala unaanza kuwaza mbinu unaanza kubuni mitego ya draft si ujinga huo? Badala uwaze una mihela kibao unatoa offer tu Kwa jamii eti unaota king zinavyokula kete. Ndo mimi sa Hivi silitaki.
 

Attachments

  • DSC_0475.JPG
    DSC_0475.JPG
    9.1 MB · Views: 4
dah hata m ubanikataga sana kucheza draft yaan hata nkfmba macho baona nacheza draft afu nakula tu mpka naingia kingi dah😂😂🤣
 
Drafti raha yake uwe unacheza na marafiki zako ili muwe mnataniana,mimi baada ya kutoka job na harakati huwa naenjoy drafti na wadau baada ya hapo naingia tiz la soka na vijana bac hata nkienda kupumzika nakuwa nmeenjoy..
 
Draft linazingua kinyama ukiliacha kucheza muda mrefu ukirudi kucheza game na wazoefu utafungwa hata kama unalijuaga.. Sasa kitendo cha kutamani kufungua fumbua code za ushindi kinapelekea usiku eti umelala unaanza kuwaza mbinu unaanza kubuni mitego ya draft si ujinga huo? Badala uwaze una mihela kibao unatoa offer tu Kwa jamii eti unaota king zinavyokula kete. Ndo mimi sa Hivi silitaki.
Katika michezo nayoipenda hapa Duniani huenda draft Ndo namba moja...

Mimi nimekulia kanda ya ziwa na Kule tunacheza zaidi French... ( Kete inaruhusiwa Kula mbele pia kurudi nyuma) Sasa kuna muda nilijukuta nacheza Hadi kamari (hela) hapa ndo nikawa sishikiki maana nilikua sina kazi hapo ndo nimetoka Chuo hivo draft Ndo likawa kama biashara yangu.....

Nakumbuka kuna wadau mtaani walikua ili tucheze lazima niwatolee kete moja lakini bado nawafunga [emoji28]....

Kila mbabe na mbabe wake..
Draft lilinikutanisha na watu wengi Ila kuna chalii mmoja toka Singida nilikutana nae alikua wa Moto Mno... Nilipigwa kama mtoto....

Baadaye nilipohamia ukanda huu wa pwani nikajifunza British sema hili nimeshindwa kua mtabe hua napigwa Sana japo nilikutana na wazembe nawanyoosha ...

Kule playok.com nilifungua akaunti ya draft la British likanishinda maana kina mkulima wanapiga kama Ngoma [emoji23]... Ikabidi tu nirudi kwenye french nashindanaga na wabrazil...

Abarikiwe Sana aliyebuni draft [emoji120][emoji1666]
 
Back
Top Bottom