Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
Hilo ni jeshi la wananchi wa Tanzania lazima tuwahoji.Kambi nyingi ofisi za MPs ziko getini,ulitaka wakampe adhabu mbali na ofisi yao kwa kumuogopa nani kwa mfano,mnataka kuanza kuleta siasa na jeshini?
Sent using Jamii Forums mobile app