Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Ama kweli ukijua hili huyu anajua lile wakati wengine wakilaani wengine wanasifu basi samalekooo.
Kama na wewe ni kanali zamu yako inakuja kaa chonjo akina kato tumebaki wengi kaweSijawahi kuona bodaboda au vijana wa hovyo kama hao vijana wa Kawe aisee ni wajinga na wakora kupitiliza aisee kwanza ni wezi, makuwadi, wauza bangi na aina ya vitu vya hovyo kupitiliza.
Siwezi kusahau siku walionipora milioni mbili kwenye begi langu na mmoja ya watu waliohusika kunifanyia huo ukora ni huyu bodaboda mtuhumiwa na crew yake, ama hakika niliwaambia ipo siku mtakoma mtachofanyia.
Kongole kwa millitary police wa Jeshi la wananchi wa Lugalo kuwatembezea mkong' oto hao bodaboda wahuni na bado cha mtema kuni mtakiona aisee
Kongole kwa JWTZ Lugalo! Mbarikiwe sana aisee.
...Wana tofauti Gani na Wewe CHAWA ??? [emoji846][emoji846]...Sijawahi kuona bodaboda au vijana wa hovyo kama hao vijana wa Kawe aisee ni wajinga na wakora kupitiliza aisee kwanza ni wezi, makuwadi, wauza bangi na aina ya vitu vya hovyo kupitiliza.
Siwezi kusahau siku walionipora milioni mbili kwenye begi langu na mmoja ya watu waliohusika kunifanyia huo ukora ni huyu bodaboda mtuhumiwa na crew yake, ama hakika niliwaambia ipo siku mtakoma mtachofanyia.
Kongole kwa millitary police wa Jeshi la wananchi wa Lugalo kuwatembezea mkong' oto hao bodaboda wahuni na bado cha mtema kuni mtakiona aisee
Kongole kwa JWTZ Lugalo! Mbarikiwe sana aisee.
Siku mkifanya tena mlichofanya mtapeleka vilio UN, haya mambo ya kudharau Jeshi mtakuja kulia kilio kikavu. Yetu machoKama na wewe ni kanali zamu yako inakuja kaa chonjo akina kato tumebaki wengi kawe
badala ya kulaumu hilo hilo jeshi lililolea hiyo tabia ww unalipongeza , hii nchi ELIMU NI MUHIMUSijawahi kuona bodaboda au vijana wa hovyo kama hao vijana wa Kawe aisee ni wajinga na wakora kupitiliza aisee kwanza ni wezi, makuwadi, wauza bangi na aina ya vitu vya hovyo kupitiliza.
Siwezi kusahau siku walionipora milioni mbili kwenye begi langu na mmoja ya watu waliohusika kunifanyia huo ukora ni huyu bodaboda mtuhumiwa na crew yake, ama hakika niliwaambia ipo siku mtakoma mtachofanyia.
Kongole kwa millitary police wa Jeshi la wananchi wa Lugalo kuwatembezea mkong' oto hao bodaboda wahuni na bado cha mtema kuni mtakiona aisee
Kongole kwa JWTZ Lugalo! Mbarikiwe sana aisee.
Ujinga wa jeshi letu utazaa ugaidi huko mbeleni, hawa drs la 7 hawawezi elewa wanaamini magaidi wanatokea mbinguni, magaidi wanajengwa na mazingira, kero nyingi na hakuna dalili ya kuwepo mwenye hata nia ya kuguswa na kero za watuukifatilia vizuri utakuta yuko kalala kwenye mahema ya Lugalo ni private wa Jeshi anamiliki sabufa na demu kamuokota manzese.
Natamani siku moja nchi yetu iwe na jeshi imara na lenye ueledi, askari wengi wamepata nafasi kwa sababu walikuwa dhiki hivyo wakalizimika kujiunga jeshini kama sehemu ya kuingiza kipato.
Tatizo lingine kubwa ni elimu zao na hali ya uelewa.
Kupiga raia wasio na kosa ni kiashara cha matumizi ya nguvu kuliko akili na reasoning hakuna. Unaweza kudhani tuko 1951 huko jeshi la kijima kabisa.
Jeshi lina kitengo cha Intelijensia wanashindwa kufuatilia kimya kimya wawachukue wahuni wote washughulike nao?
Kila mara tunasumbuliwa na Panya road jeshi lipo na liko kimya. Hata Polisi ni kama imefeli flani japo hawasemi
Kwa Sababu Ipo Kwa Upande Wako tu. kisa Walikupora Basi Umeona Ni Kama Karma kwao, Kwani Maeneo Mengine Hawaporwi. Mbona Watu tumeibiwa sana Vitu NdaniSijawahi kuona bodaboda au vijana wa hovyo kama hao vijana wa Kawe aisee ni wajinga na wakora kupitiliza aisee kwanza ni wezi, makuwadi, wauza bangi na aina ya vitu vya hovyo kupitiliza.
Siwezi kusahau siku walionipora milioni mbili kwenye begi langu na mmoja ya watu waliohusika kunifanyia huo ukora ni huyu bodaboda mtuhumiwa na crew yake, ama hakika niliwaambia ipo siku mtakoma mtachofanyia.
Kongole kwa millitary police wa Jeshi la wananchi wa Lugalo kuwatembezea mkong' oto hao bodaboda wahuni na bado cha mtema kuni mtakiona aisee
Kongole kwa JWTZ Lugalo! Mbarikiwe sana aisee.
Alafu anasubiria apewe moja ya frameukifatilia vizuri utakuta yuko kalala kwenye mahema ya Lugalo ni private wa Jeshi anamiliki sabufa na demu kamuokota manzese.
Natamani siku moja nchi yetu iwe na jeshi imara na lenye ueledi, askari wengi wamepata nafasi kwa sababu walikuwa dhiki hivyo wakalizimika kujiunga jeshini kama sehemu ya kuingiza kipato.
Tatizo lingine kubwa ni elimu zao na hali ya uelewa.
Kupiga raia wasio na kosa ni kiashara cha matumizi ya nguvu kuliko akili na reasoning hakuna. Unaweza kudhani tuko 1951 huko jeshi la kijima kabisa.
Jeshi lina kitengo cha Intelijensia wanashindwa kufuatilia kimya kimya wawachukue wahuni wote washughulike nao?
Kila mara tunasumbuliwa na Panya road jeshi lipo na liko kimya. Hata Polisi ni kama imefeli flani japo hawasemi
Kumbe malipo na hapahapa Kawe!Sijawahi kuona bodaboda au vijana wa hovyo kama hao vijana wa Kawe aisee ni wajinga na wakora kupitiliza aisee kwanza ni wezi, makuwadi, wauza bangi na aina ya vitu vya hovyo kupitiliza.
Siwezi kusahau siku walionipora milioni mbili kwenye begi langu na mmoja ya watu waliohusika kunifanyia huo ukora ni huyu bodaboda mtuhumiwa na crew yake, ama hakika niliwaambia ipo siku mtakoma mtachofanyia.
Kongole kwa millitary police wa Jeshi la wananchi wa Lugalo kuwatembezea mkong' oto hao bodaboda wahuni na bado cha mtema kuni mtakiona aisee
Kongole kwa JWTZ Lugalo! Mbarikiwe sana aisee.