Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,435
- 1,192
Acha woga....Kwan umesoma kozi ganNakaribia kumaliza chuo Nina mtaji wa laki 8 sijui nikaziweke wapi hizi pesa kibiashara! Lengo La kwanza ni kwenda kuuza bidhaa ndogondogo za urembo..
Option ya pili nikainunue salon ya kiume Kuna jamaa nasikia anauza hiyo kitu.
Hapa nilipo nina huo ujuzi Sasa wakuu kabla sijaingia kichwa kichwa hizi pesa nisije jutia badae Naombeni wakuu nisaidieni mawazo hapa.
Chondechonde wakuu nisaidieni mawazo chanya msije nitia mchanga wa uso nikaona giza mbeleni. Asanteni!
Education ya art English na GeographyAcha woga....Kwan umesoma kozi gan
Asante mkuu unajishugulisha na nini?Karibu mtaani kijana,,mwenzio nmehitimu pia na mambo huku bado bila bila
Mkuu unajishugulisha nanini?Karibu sana kaka uraiani, kwa ufupi hakuna jipya mji upo, watu wapo, kikubwa ni kujiongeza na kujitafutia riziki za halali
Nipo nipo tu,,nakula kwa shikamoo..tatzo mtaji ni utataAsante mkuu unajishugulisha na nini?
Hyo saluni uliambiwa inauzwa pesa ngapi?Nakaribia kumaliza chuo Nina mtaji wa laki 8 sijui nikaziweke wapi hizi pesa kibiashara! Lengo La kwanza ni kwenda kuuza bidhaa ndogondogo za urembo..
Option ya pili nikainunue salon ya kiume Kuna jamaa nasikia anauza hiyo kitu.
Hapa nilipo nina huo ujuzi Sasa wakuu kabla sijaingia kichwa kichwa hizi pesa nisije jutia badae Naombeni wakuu nisaidieni mawazo hapa.
Chondechonde wakuu nisaidieni mawazo chanya msije nitia mchanga wa uso nikaona giza mbeleni. Asanteni!
Duh kwa iyo mkuu utabaki hivyo hadi lini?Nipo nipo tu,,nakula kwa shikamoo..tatzo mtaji ni utata
Hapo mkuu ntakudanganya nkisema tumia elimu yako, ila Kama unasomea dar waweza langua vitu vya urembo ukaingia navyo huko uendako tayar kwa ujasiria maliEducation ya art English na Geography
Jamaa nasikia anataka laki 7 top 6Hyo saluni uliambiwa inauzwa pesa ngapi?
Labda tuanzie hapo
Mkuu ni iringaHapo mkuu ntakudanganya nkisema tumia elimu yako, ila Kama unasomea dar waweza langua vitu vya urembo ukaingia navyo huko uendako tayar kwa ujasiria mali
Hujaamua tu kutumia mazingira.....unaweza hata kuanza na garden ya mbiga za majanNipo nipo tu,,nakula kwa shikamoo..tatzo mtaji ni utata
Asante mkuu nimekuelewa SanaKijana honestly , mambo yamebadirika sana. Mambo mtaani ni magumu.
Mimi nakushauri Fanya jambo lolote litakalokupa Pesa halali. Usichague kazi kwasababu una degree. Elimu yako weka pembeni. Usiangalie Ndugu,majirani na marafiki watakuonaje.
Kama ukiishi kwa hiyo energy utaenda kwenye graduation wanafunzi wenzako wanataka uwape madili.
Hiyo saluni ni choice nzuri lakini ni lazima utathmini ipo location gani yaani Kuna mzunguko wa watu wengi au kijijini ambako watu wananyoana kwa viwembe chini ya mtiJamaa nasikia anataka laki 7 top 6
Laki nane ?Nakaribia kumaliza chuo Nina mtaji wa laki 8 sijui nikaziweke wapi hizi pesa kibiashara! Lengo La kwanza ni kwenda kuuza bidhaa ndogondogo za urembo..
Option ya pili nikainunue salon ya kiume Kuna jamaa nasikia anauza hiyo kitu.
Hapa nilipo nina huo ujuzi Sasa wakuu kabla sijaingia kichwa kichwa hizi pesa nisije jutia badae Naombeni wakuu nisaidieni mawazo hapa.
Chondechonde wakuu nisaidieni mawazo chanya msije nitia mchanga wa uso nikaona giza mbeleni. Asanteni!
Ngoja nikapacheki nikirudi kule saitHiyo saluni ni choice nzuri lakini ni lazima utathmini ipo location gani yaani Kuna mzunguko wa watu wengi au kijijini ambako watu wananyoana kwa viwembe chini ya mti
Aah mkuu Habari za chips Sina uzoefu nazo hata kidogo sijui naanzia wapiLaki nane ?
Njoo kitaa ufungue goli la chipsi jirani na kijiwe cha dada Poa utatoboa ila ukija mtaani na ubishoo wa chuo hivyo vihela havimalizi hata week.
Pia kama unapaka poda jihadhari kuna kifiro.!