namaliza chuo kikuu naenda mtaani hebu niambieni kukoje huko kibiashara?

namaliza chuo kikuu naenda mtaani hebu niambieni kukoje huko kibiashara?

Ngoja nikapacheki nikirudi kule sait
Kapacheki ukiona ni centre nzuri ichukue itakusaidia.
Ni biashara nzuri ila uwe serious sana kwenye management.
Staili yake ni Kama ilivyo kwenye biashara ya bodaboda yaani ukiwa mpole hesabu hawaleti.
Dawa yao unakuwa kauzu kwenye hesabu yako.
 
Kapacheki ukiona ni centre nzuri ichukue itakusaidia.
Ni biashara nzuri ila uwe serious sana kwenye management.
Staili yake ni Kama ilivyo kwenye biashara ya bodaboda yaani ukiwa mpole hesabu hawaleti.
Dawa yao unakuwa kauzu kwenye hesabu yako.
Mkuu MI Mwenyewe fundi nzuri tu wa cutting
 
Hapo mkuu ntakudanganya nkisema tumia elimu yako, ila Kama unasomea dar waweza langua vitu vya urembo ukaingia navyo huko uendako tayar kwa ujasiria mali
Hyo ndio Elimu ya TZ unasoma University ukimaliza unaanza kuangaika kama vile huna ata f4. Ukitaka mkopo unaambiwa upeleke HATI ya nyumba au kiwanja ila ukitka ya Harka wanayojidai kuwa haina masharti unaambiwa upeleke BARUA YA MWAJIRI sasa sijui kama unatoka familia zetu utapataje MTAJI hapo
 
Mtaji mzuri Sana #me nikipata laki 2 au 3 zatosha #maisha ni kujifunza #endelea kuchunguza biashara tofauti na kufanya tafiti #angalia fursa zilizopo ulipo nn kinskosekana au nipeleke kitu fulani mkoa fulani kuna mahitaji mengi sana
 
Back
Top Bottom