mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Kapacheki ukiona ni centre nzuri ichukue itakusaidia.Ngoja nikapacheki nikirudi kule sait
Ni biashara nzuri ila uwe serious sana kwenye management.
Staili yake ni Kama ilivyo kwenye biashara ya bodaboda yaani ukiwa mpole hesabu hawaleti.
Dawa yao unakuwa kauzu kwenye hesabu yako.