Haungeweza kujibu
Tokea pande za Ngamiani nimepata habari mchezaji gwiji wa siku za nyuma wa timu ya taifa ba coastal union huko ameaga dunia.
Hayupo anayetaka wish awe kapitiwa na ka upepo.
Jamani kule Ngamiani na Majani Mapana tujuzane. Bwana Kampira (rip) hakuwa cha mtoto hawezi kutokomea kimya kimya.