Haungeweza kujibu
Use common senseso na wewe unataka kuleta sias kama kawaida yenu..
Madereva 25 kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia nchini Kenya baada ya kukutwa na virusi vya corona.
Kati ya madereva hao 23 ni raia wa Tanzania , mmoja wa Uganda na mmoja kutoka taifa la Rwanda.
Kulingana na wizara ya afya nchini Kenya raia hao wa taifa jirani la Tanzania walipimwa na kupatiwa matokeo yao katika kipindi cha saa 24.
Wizara hiyo imesema kwamba hatua hiyo inalenga kuwalinda Wakenya dhidi ya maambukizi kutoka kwa raia wa kigeni.
Katika mkutano wake na wanahabari naibu waziri wa Afya rashid Aman amesema kwamba maabara 2 za kuhama hama zitazinduliwa katika mpaka wa Namanga ili kuimarisha upimaji wa wagonjwa wapya.
Aman aidha amewataka Wakenya wanaoishi mipakani kuwaripoti watu wanaowashuku ambao wanajaribu kuingia nchini kwa njia haramu.
hiyo common sense yako mi siitaki kabisa yaweza ikawa imedukuliwa tayarUse common sense
Kenya wanapima watu 35,000 kwa siku, sijui kama unajua!Hao waliotest positive wamelazwa wapi? If they are positive and are stil healthy and kicking we unapata tafsiri gani? Hata huko Kenya I am sure wakitest watu barabarani watajiona watawakuta wengi tu wako positive bila kuwa na dalili yeyote
Wewe Waziri wa Afya kweli ni mwanamke unayejua uchungu wa mtoto? Kwenye janga hili la Corona unafuata muongozo upi ambao unaelekea kuiua Tanzania?
Tumechoshwa na habari za aina hii kila siku. Pia nikueleze kuwa tunachoshwa na madhila tunayoyaona huku mitaani. Hatujazoea kuishi na maiti sisi! Kama unaona huwezi kufuata mwongozo sahihi kuukabili huu ugonjwa basi ondoka ili tujue tutachukua hatua gani.
Umefikia hatua sasa unatukera waziwazi!
Kenya ni waongo , Tanzania hakuna coronaWewe Waziri wa Afya kweli ni mwanamke unayejua uchungu wa mtoto? Kwenye janga hili la Corona unafuata muongozo upi ambao unaelekea kuiua Tanzania?
Tumechoshwa na habari za aina hii kila siku. Pia nikueleze kuwa tunachoshwa na madhila tunayoyaona huku mitaani. Hatujazoea kuishi na maiti sisi! Kama unaona huwezi kufuata mwongozo sahihi kuukabili huu ugonjwa basi ondoka ili tujue tutachukua hatua gani.
Umefikia hatua sasa unatukera waziwazi!
Kazi kweli kweli,
Mkuu wa vyama hao ni wa ku ignore. Hili si suala la siasa at all.
Kuna group jingine hili ni la watu wanaotaka tuwe lost. Hawana hoja haijulikani wanaotaka nini au hawataki nini. Hawa wako kazini. Wanalipwa kwa kuleta confusion. Wana user ID nyingi na zingine wanazi operate kwa shift. Ziko active 24x7.
Utawajua kwa kejeli na matusi kwani hayo kwao ni kama salamu tu.
Kwamba we are totally lost, hayo ndiyo wanataka. Tukichanganyikiwa ndiyo mafanikio yao.
Tusiwape nafasi ya kujitangazia ushindi to our detriment.
Hujitambui really yaani tuko shidani unapretend everything is okay wewe ni wale watu hata mkiishi njaa ni sawa tu kama unamahali pakujiifadhi acha kutupotosha 23 wote wakutwe na huo ugonjwa nakila mahali wanatangaza halafu everthing is okey.Hizo story za mitandaoni tu
Nchi ipo salama
Shida ni hii fuateni taratibu naweni mikono vaeni barakoa .Leo nilimsikiliza Dr Slaa akieleza Corona ilivyovumishwa kuliko inavyostahili
Alitoa mfano wa Sweden kwa waliopima positive 100, 98 walipona hata bila kwenda hospitalini?
Hii rate ni sawa na ya mafua
Huku kwetu hata tukiinua hiyo rate na kufanya ktk waliopimwa positive 100 watano tu ndio wanahitaji huduma ya hospitali, 95 wanapona wenyewe
Hii fact ndio inamfanya Mhe. Rais asipanic na kuanza kuiga kila kilichowashinda wazungu wanaoteketea hata baada ya lockdown
Kule South kwa mfano Lockdown ilisababisha foleni ya KM 3 kwa ajili ya sambusa mbili tu ambayo hata ukipata haishibishi
Hawa CHADEMA wanawatakia mabaya Watanzania wafungiwe ndani halafu wafe kwa njaa
Watanzania walio wengi more than 85% wanategemea kwenda kuhemea kwenye biashara ndogo ndogo au kibarua ili wale mlo duni wa mchana na usiku au usiku tu. Leo ukiwafungia hao 85% wasiende kazini au kuhemea kwenye biashara serikali itawalisha sambusa 2 kwa misururu ya foleni km 3 halafu itakuwa imekwepa nini hapo, lockdown halafu kugawa sambusa 2 unaunda foleni ya KM 3 kama South Afica
habari za uchochez hiziSerikali ya CCM pamoja na Rais, waitishe kikao cha dharura kulinusuru taifa. Hili swala halina chama wala kabila, ni swala la dharura la kitaifa. Mambo yanaelekea kubaya.
Tumefika babaya tunatengwa na majirani pamoja pamoja na jumuiya ya kimataifa, na hii inatokana na makasa tunayofayanya kama taifa. Hatujafika sehemu ya kujitenga na jumuiya ya kimataifa. Hili ni gazette la the The Standard la KenyaView attachment 1449158
View attachment 1449163
wameanzia mtaa gani kupima? maana ukipima suspects tu ni ujinga kaka.
Kazi kweli kweli
Rafiki acha mihemko
Nchi gani duniani imeweza ku eliminate corona?
Nchi gani itaweza kuondoa corona??
Hao majirani kila siku wana visa vipya, vinatokea wapi!
wameanzia mtaa gani kupima? maana ukipima suspects tu ni ujinga kaka.
Kuna watu kibao kitaa hawana dalili yeyote na hawawezi kuwapata
Hizo ni mbwembwe tu kamanda!
Nakuhakikishia Corona is much smarter than whatever they are purporting to do,
Very proud of my President JPM
He is a genius leader. kawaacha wenzake waendelee kutwanga maji kwenye kinu.
Mwisho wa siku hao wote watarudi kufuata alichokifanya Magu - na wameshaanza.
Hawa madereva wa tz inaonesha wako kwenye mazingira hatarishi sana kikazi.
Hii pia inawafanya wengi wao kufa kwa maradhi ambukizi.
Labda elimu zaidi inahitajika kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app