Zanzibar 2020 Namba 11: Mwantum Mussa Sultan anakuwa Mwanamke wa kwanza kuchukua fomu ya Urais kwa tiketi ya CCM Zanzibar

Yupo wapi yule aliyeingia ulingoni na Magufuli na Dr Migiro? Balozi Amina Ally, huyu hata kwa kumuangalia alikuwa na sura ya Urais yaani Presidential look. Nilijua angekuwa Makamu Rais lakini wapi. Sijui kwanini walimpotezea?
Bi Amina mama smart sana huyo ila kauli yake Kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa ccm ya kusema endapo angechaguliwa kuwa mgombea wa urais angeshirikiana na Edward lowassa. ikamuharibia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…