Zanzibar 2020 Namba 8: Shamsi Vuai Nahodha achukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar kupitia CCM

Status
Not open for further replies.
Deserves to compete.
 
Mnyukano wa uteuzi ni mkali Zanzibar. Tunamsibiri Makame Mbarawa halafu finally wanakuwa ni Watatu ambao ni Hussein Mwinyi, Makame Mbarawa na Nahodha kumpata mmoja.
 
Huyu atakatwa tu maana ana misimamo sana ya uzanzibari sawa kabisa na MAALIM au GHALIB BILAL
Naikubali hoja yako, huyu wakati waziri kiongozi yeye na rais wake waliidhinisha serikali ya umoja wa kitaifa na kusababisha wasiyempenda kuwa makamu wa kwanza rais. Na Sasa maalim kaamua kugombea urais kwa hiyo CCM hawawezi kuwapa maswahiba wawili wagombee urais znz.
 
Msindikizaji,Rais wetu Wanzanzibar ni Dr Hussein Mwinyi
 
Nilikutana naye Mwanza 2010-2011 akiwa Waziri wa mambo ya ndani aliongozana na Abbasi Kandoro kwenye Vurugu za wa Machinga yupo simple sana,anastahili.!
 
Aiseee! Hiyo CV....!!! Yaani alisoma masomo ya sekondari kwa mwaka mmoja (1979), basi ni "genius" wa ukweli.
 
Huu ni mtihani mkubwa wa kwanza wa kisiasa Zanzibar mara nyingi Zanzibar wanakuwa na machaguo yao ndio maana wakina Bilal walipoondolewa walipewa nafasi kubwa kuwapooza hata Amani Karume alipitishwa pamoja na kutokuwa na sifa ya degree kwa sababu lilikuwa chaguo la wazanzibar asipocheza karata zake vyema ndio atajua sio kila sehemu vitisho vinafanya kazi
 
Hayaaaaaa nilijua hatachukua huyu Nahodha, basi tena, mpira umempata Messi, huyu nampa 100% kuwa Rais wa Zanzibar, akikosa huyu basi Mbarawa. Ila huyu najua ni best so far. Let's wait, Zanzibar kumenoga
 
Mzee umeongea point sana!. Tatizo la Mwinyi ni kuwa aliahidiwa miaka mingi sana. ..ni kama Lowasa au Membe.

Sasa akiukosa huo urais atakufa kwa pressure.

Dk.Bilal kipindi kile ilibidi ahongwe umakamu wa Rais ili kumtuliza..
 
mkuu huyo jamaa unamfahamu kiundani?
Acha kutisha watu. CCM tuache siasa za majitaka. Mnataka mseme ni mwarabu?? Si ndio? Sasa huyo ni mweusi tii na muunguja pure!

Sijui mtatunga uongo gani?
 
Kama raisi wa zanzibar hatapangwa kutoka dodoma Shamsi ndiye mtu sahihi kwa sasa ukiachana na wale wa ule ukoo wa ubwenyenye na usultani
Dodoma ndio tunaamua nani w
awe rais. Hivi tusipo wa control wazanzibari si tutavuna mabua[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naodha ,anastahili Zanzibar...km hamna Rafu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…