Asante mkuu,je unaweza pata Plate namba A ikawa nÅŗuri? Sababu kuna jamaa anajza prado 19M ila ni namba A na millage 150,000 nitaishi nayo muda mrefu kweli?Unamaanisha plate number au
Kama plate no wengi huamini no D kwa sasa ndio latest ingawa zipo no D zina miaka miwil kama DDS,
Hiyo no A ndio zile Gari za mwanzo kabisa zilipewa plate no hizo zinamiaka sio chini ya nane mfano AXY
Mtafute fundi unaemuamini ukakague gari kabla ya kununua (maana kuna mafundi vicheche anauza mechi) anakulengesha gari bovu halafu muuzaji anampa hela kidogoasante mkuu,je unaweza pata Plate namba A ikawa nÅŗuri?Sababu kuna jamaa anajza prado 19M ila ni namba A na millage 150,000 nitaishi nayo muda mrefu kweli?
Umenifurahisha kutaja KilosaGari inategemea na matunzo, mfano unaweza ukanunua gari kwa mdosi wa town Dar ambalo ni namba A litakuwa na afadhali kuliko namba C linalomilikiwa na jamaa wa kilosa huko...
Gari inategemea na matunzo, mfano unaweza ukanunua gari kwa mdosi wa town Dar ambalo ni namba A litakuwa na afadhali kuliko namba C linalomilikiwa na jamaa wa kilosa huko.( huo ni mfano tu)..
Mkuu, itategemea siwezi kusema 5.5m umepigwa au la! cha msingi tafuta fundi wako akaikague gari.Umeona hii Gari namba C (kwa kuitazama tu)
Kuna mtu anataka kuniuzia kwa 5.5m.
Je kwa wewe unaona inathamani hiyo ama napigwa cha juu? Nipe ushauri wako
Kutembelea gari yenye namba D ni fahari ya kila mtanzania.. Utaheshimika zaidi ukitembelea Passo yenye namba D kuliko Prado yenye namba A.
Zamani nilikuwa naona mtu mwenye latest namba ndo mjanja.Kutembelea gari yenye namba D ni fahari ya kila mtanzania.. Utaheshimika zaidi ukitembelea Passo yenye namba D kuliko Prado yenye namba A.
WEWE JAMAA UNACHEKESHA KWELI NAMBA SIYO ISHU KWENYE GARI.....ISHU NI MATUNZO YA GARI ZIPO GARI NI NAMBA D LAKINI UKIZIANGALIA TU UNACHOKA YAANI KIMUONEKANO IPO CHINI KULIKO NAMBA A KUNA WATU WANAPIMP MAGARI YANAPENDEZA BALAAKutembelea gari yenye namba D ni fahari ya kila mtanzania.. Utaheshimika zaidi ukitembelea Passo yenye namba D kuliko Prado yenye namba A.
Jamaa kaandika reality iliyopo mtaani .kiukweli gari hata imeremete vipi ikiwa namba A ata kugeuka nyuma kuiangalia shingo inapata kaugumu na kauzito flani.WEWE JAMAA UNACHEKESHA KWELI NAMBA SIYO ISHU KWENYE GARI.....ISHU NI MATUNZO YA GARI ZIPO GARI NI NAMBA D LAKINI UKIZIANGALIA TU UNACHOKA YAANI KIMUONEKANO IPO CHINI KULIKO NAMBA A KUNA WATU WANAPIMP MAGARI YANAPENDEZA BALAA
Hahahah namba A unasema miaka zaidi ya 8? Namba A zilianzaga 2007 mkula...Kwasasa ni gari za miaka kati ya 11-13 toka zisajiliwe nchini.Unamaanisha plate number au?
Kama plate no wengi huamini no D kwa sasa ndio latest ingawa zipo no D zina miaka miwil kama DDS.
Hiyo no A ndio zile Gari za mwanzo kabisa zilipewa plate no hizo zinamiaka sio chini ya nane mfano AXY
Yeah! Ila Niliandika si chini ya miaka nane inamaana miaka nane kwenda juu.Hahahah namba A unasema miaka zaidi ya 8? Namba A zilianzaga 2007 mkula...Kwasasa ni gari za miaka kati ya 11-13 toka zisajiliwe nchini.
Hio DD ni gari ya registration ya mwaka 2015 nchini which means ni gari ya miaka 5 nyuma na si miwili kama unavyodhani.
Hizi Plate number zinakupa picha ya gari imetumika kiasi gani nchini. Gari nzuri za kununua kwa sasa ambazo ni walau ziko current kuanzia mwezi June mwaka jana to date. DQ,DR,DS,DT,DU hapo unakuta gari kama liko kwa mtu makini basi still linakuwa OG sana.
Zipo Prado namba A zimenyooka kuliko D ambazo zimetoka japan miezi 6 iliopitašHata ka gari matunzo ila namba A na namba B kwa sasa hapana asee kwanza litakua na kilomita ngapi gari ulitoa japan 2006 hadi leo miaka 14 ukipiga hesabu ya kilomita efu 10 kwa mwaka inakuja kilomita laki moja na efu 40... Mengi namba A yapo juu ya mawe na kwa yanayotembea kwa sevice zetu hizi za kibongo injini zitakua zishabadilishwa unless yale makubwa makubwa kama Landcruiser Landrover
Kabla sijaona hii comment nimekutana na RAV4 KILLTIME namba ADD asee imenyokaa balaaa utasema namba feki ukiionaZipo Prado namba A zimenyooka kuliko D ambazo zimetoka japan miezi 6 iliopita[emoji16]
Kuna gari namba B haijafikisha km 90,000.Hata ka gari matunzo ila namba A na namba B kwa sasa hapana asee kwanza litakua na kilomita ngapi gari ulitoa japan 2006 hadi leo miaka 14 ukipiga hesabu ya kilomita efu 10 kwa mwaka inakuja kilomita laki moja na efu 40... Mengi namba A yapo juu ya mawe na kwa yanayotembea kwa sevice zetu hizi za kibongo injini zitakua zishabadilishwa unless yale makubwa makubwa kama Landcruiser Landrover